Magaidi wanachafua dini

[HASHTAG]#scooman[/HASHTAG] hayo maamrisho umeyapata katika Quran ipi ?
piga picha hiko kipande cha ayaa na ukilete hapa ktk uzi huu tukione .

Wewe usikute ni mwislamu lakini hujui upumbavu ulioandikwa humo kwenye vitabu vyenu kwani hao magaidi huo unyama wanaofanya umeandikwa wapi si ni humo vitabuni hayo maamrisho yaliyowekwa na mtoa mada yapo kwenye quran ukatafute usome mimi siwezi gusa quran hata iweje
 
Quran 65:4
3c6a42c6123545baa0634eaecd72781c.jpg
 
haya [HASHTAG]#scooman[/HASHTAG] usiguse hata siku moja, tena hata usijaribu , baki hivyo hivyo na huo ujinga, tena hata usithubutu kabisaaaaaaaaaaaa maana kwako kwajifunza ni sawa sawa na kula mkaa wa moto sasa usije ukaungua bure
baki hivyo bhana yani we kujua ukweli ni dhambi sa ucje ukaingia motoni bure.
yani kaa mbili na kuijua quran we cha kufanya soma hizo bangi za hao jamaa zako walozituka hapo halafu .
watoto wengine ni shida tu maana ukubwa wa bure akili kijiko.
 
Wewe usikute ni mwislamu lakini hujui upumbavu ulioandikwa humo kwenye vitabu vyenu kwani hao magaidi huo unyama wanaofanya umeandikwa wapi si ni humo vitabuni hayo maamrisho yaliyowekwa na mtoa mada yapo kwenye quran ukatafute usome mimi siwezi gusa quran hata iweje
Acha kupotosha.labda wewe ndo mpumbavu.
 
Inshaallah nashukuru kwa ufafanuzi uliotolewa imedhihirisha hayo ni ya kubuni na hayapo kwenye Dini yetu ya haki, Takbiiir
 
Haijaelekeza hivyo dini, na kumbuka hata baadhi ya watu wa karibu na mtumw hawakuwa waislam na hakuwapiga vita.
Ambao hakuwapoliga vita walilipa zaka/kodi kama kurani 9:5 inavyoelekeza. Na dakika za mwisho nguvu kumuishia ndo alianza kuomba poo. Kwa wale wanaojua utaalamu wa kusoma kurani wananielewa.
 
Pole bwana mikanzu ukweli unauma,jiwe la gizani baya sana ukigongwa nalo utakuja tu kwenye mwanga
Ukweli gani.hakuna aya zinazosema hayo.
Na mambo ya vita yalikuwepo kipindi kile.muhammad alipokuja kuufufua uislam.wapo makafiri waliowaua waislam.ndipo muhammad akaamuliwa apambane nao.
 
Back
Top Bottom