Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,629
- 4,004
[HASHTAG]#scooman[/HASHTAG] hayo maamrisho umeyapata katika Quran ipi ?
piga picha hiko kipande cha ayaa na ukilete hapa ktk uzi huu tukione .
Wewe usikute ni mwislamu lakini hujui upumbavu ulioandikwa humo kwenye vitabu vyenu kwani hao magaidi huo unyama wanaofanya umeandikwa wapi si ni humo vitabuni hayo maamrisho yaliyowekwa na mtoa mada yapo kwenye quran ukatafute usome mimi siwezi gusa quran hata iweje