Mwatuona hatuna akili enyi wapinzani!!

Baba rai

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
228
292
Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.

Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!

Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!

Mara mikataba ya madini ipitiwe upya mara jitihada zinaanza mnageuka na kututisha!!!

Mara kodi ya magari kwa ajili ya barabara iwekwe kwenye mafuta.....mambo yanawekwa sawa mnaruka kimanga!!!!

Hivi mnasimamia nini haswa au kupingapinga?

Dira yetu haswa ni ipi au kupiga siasa kwenye misiba na matatizo ya wananchi kuyafanya mtaji wa kisiasa?

Roho inaniuma sana mnapopinga mambo yenye maslahi kwa taifa na ni wazi hamna uchungu na wananchi bali mnataka kutawala media tu kujijenga kisiasa.

Sisi tunaowaunga mkono ni kwa sababu ya kuboronga kwa chama tawala hivyo tuwafanya mbadala hivyo msifikiri tumechanjiwa damu na nyinyi na kufanya mpendavyo...
 
Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.

Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!

Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!

Mara mikataba ya madini ipitiwe upya mara jitihada zinaanza mnageuka na kututisha!!!

Mara kodi ya magari kwa ajili ya barabara iwekwe kwenye mafuta.....mambo yanawekwa sawa mnaruka kimanga!!!!

Hivi mnasimamia nini haswa au kupingapinga?

Dira yetu haswa ni ipi au kupiga siasa kwenye misiba na matatizo ya wananchi kuyafanya mtaji wa kisiasa?

Roho inaniuma sana mnapopinga mambo yenye maslahi kwa taifa na ni wazi hamna uchungu na wananchi bali mnataka kutawala media tu kujijenga kisiasa.

Sisi tunaowaunga mkono ni kwa sababu ya kuboronga kwa chama tawala hivyo tuwafanya mbadala hivyo msifikiri tumechanjiwa damu na nyinyi na kufanya mpendavyo...

Tunavumilia kuitwa nyumbu kwa ukinyonga wenu.

 
Wapinzani ndo waliingia mikataba mibovu siyo? Na rais wetu Jpm hakuwa sehemu ya serikali ya ccm iliyosaini mikataba hiyo. Cha msingi ccm mliharibu wenyewe msitake tuwasifie kwa sababu mnatengeneza sasa. Hata hivyo ninyi ndo mmetusababishia hasara.
 
Huyo raisi wako naona mpaka sasa hana lolote.
Namuona mnafiki tu tena mkubwa. Hapo alipo kafuta ajira, kala rambi rambi, helsb 15%, no fao la kujitoa, no increment. Hiyo mikataba mibovu walisaini wapinzani?
CCM ni kichwa cha mwendawazimu, walisaini wenyew halafu leo wanajiita mashujaa. Pyuuuu
Mataputapu anazidi kutuibia kila kisu.
Leo fao la kujitoa halipo, ila keshokutwa akiruhusu mnakata mauno na kumuita shujaa, ccm wote ni wezi tu.
CCM NI CHANZO CHA UMASIKINI TANZANIA
ndiyo maana bombadier imeharibika kwa sabb ya laana za watu wanaoteseka ktk nchi yao. Na hiyo nyingine lazima iungue moto tu.
 
Waliopitisha mikataba haraka haraka kwa hati ya dharura ni akina nani?Wapinzani walipogoma si mliwacheka na kuwakebehi?
Hilo la mikataba ndio ilikuwa hoja ya Lissu!!!!Dont twist things around
 
Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.

Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!

Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!

Mara mikataba ya madini ipitiwe upya mara jitihada zinaanza mnageuka na kututisha!!!

Mara kodi ya magari kwa ajili ya barabara iwekwe kwenye mafuta.....mambo yanawekwa sawa mnaruka kimanga!!!!

Hivi mnasimamia nini haswa au kupingapinga?

Dira yetu haswa ni ipi au kupiga siasa kwenye misiba na matatizo ya wananchi kuyafanya mtaji wa kisiasa?

Roho inaniuma sana mnapopinga mambo yenye maslahi kwa taifa na ni wazi hamna uchungu na wananchi bali mnataka kutawala media tu kujijenga kisiasa.

Sisi tunaowaunga mkono ni kwa sababu ya kuboronga kwa chama tawala hivyo tuwafanya mbadala hivyo msifikiri tumechanjiwa damu na nyinyi na kufanya mpendavyo...

Tunavumilia kuitwa nyumbu kwa ukinyonga wenu.
Haha mkuu bado hujaelewa tu Lowasa si fisadi maana serikali ilishindwa kumshitaki mafisadi ni wale walioingia mikataba ya kipuuzi kabisa kwenye madini yetu.
 
Wapinzani ndo waliingia mikataba mibovu siyo? Na rais wetu Jpm hakuwa sehemu ya serikali ya ccm iliyosaini mikataba hiyo. Cha msingi ccm mliharibu wenyewe msitake tuwasifie kwa sababu mnatengeneza sasa. Hata hivyo ninyi ndo mmetusababishia hasara.

Swala hapa sio chama. Ukibanwa na haja unakunya Chadema. Wakina Lowasa. Sumaye walikuwa mbinguni sio hao wako chadema. We unadhani ndoa anasuruhisha padre au shekhe. Ndoa inasulihishwa kimsingi na watu wenyewe wawili. MTU wa Ndani. Ambaye kaona shida. Kaikabili. So shut up
 
Wapinzani ndo waliingia mikataba mibovu siyo? Na rais wetu Jpm hakuwa sehemu ya serikali ya ccm iliyosaini mikataba hiyo. Cha msingi ccm mliharibu wenyewe msitake tuwasifie kwa sababu mnatengeneza sasa. Hata hivyo ninyi ndo mmetusababishia hasara.

Huyo raisi wako naona mpaka sasa hana lolote.
Namuona mnafiki tu tena mkubwa. Hapo alipo kafuta ajira, kala rambi rambi, helsb 15%, no fao la kujitoa, no increment. Hiyo mikataba mibovu walisaini wapinzani?
CCM ni kichwa cha mwendawazimu, walisaini wenyew halafu leo wanajiita mashujaa. Pyuuuu
Mataputapu anazidi kutuibia kila kisu.
Leo fao la kujitoa halipo, ila keshokutwa akiruhusu mnakata mauno na kumuita shujaa, ccm wote ni wezi tu.
CCM NI CHANZO CHA UMASIKINI TANZANIA
ndiyo maana bombadier imeharibika kwa sabb ya laana za watu wanaoteseka ktk nchi yao. Na hiyo nyingine lazima iungue moto tu.

Lumumba mtakuwa mnashare ubongo mmoja sio bure.

Waliopitisha mikataba haraka haraka kwa hati ya dharura ni akina nani?Wapinzani walipogoma si mliwacheka na kuwakebehi?
Hilo la mikataba ndio ilikuwa hoja ya Lissu!!!!Dont twist things around

Mtoa Mada wewe nawe umetoroka kwenye lile kundi la Zero Brain..
Umekimbilia kuanzisha uzi wenye viwango vyako..huelewi hata umeandika nini..
27d0a54644a750b237e1b80fa2081d99.jpg
d8d192fd0b3a49a388472c0bffdf3206.jpg
 
Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.

Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!

Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!
Hakuna haja ya kufanywa mjinga wakati tayari ni mjinga. Kama unadhani Lowassa ni fisadi, nini kinachelewesha kupelekwa kwenye ile mahakama ya mafisadi?

Kuondoa road license, ni jambo zuri, lakini 40 na 12 au 17 ni sawa?

Kichwa chako bure kabisa.
 
Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.

Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!

Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!

Mara mikataba ya madini ipitiwe upya mara jitihada zinaanza mnageuka na kututisha!!!

Mara kodi ya magari kwa ajili ya barabara iwekwe kwenye mafuta.....mambo yanawekwa sawa mnaruka kimanga!!!!

Hivi mnasimamia nini haswa au kupingapinga?

Dira yetu haswa ni ipi au kupiga siasa kwenye misiba na matatizo ya wananchi kuyafanya mtaji wa kisiasa?

Roho inaniuma sana mnapopinga mambo yenye maslahi kwa taifa na ni wazi hamna uchungu na wananchi bali mnataka kutawala media tu kujijenga kisiasa.

Sisi tunaowaunga mkono ni kwa sababu ya kuboronga kwa chama tawala hivyo tuwafanya mbadala hivyo msifikiri tumechanjiwa damu na nyinyi na kufanya mpendavyo...

Tunavumilia kuitwa nyumbu kwa ukinyonga wenu.
. nibora asiye na akili anayejijua kuliko yule anayedhani anazo kumbe hola!! Unanikumbusha kiongozi mmoja aliyetunukiwa maudokta huko marekani akajihisi ni genious kumbe kiazi...wamarekani wametuibia matrilioni ya madini wakatuzawadia kondom na chandarua...
 
Kipimo cha ujinga ni kukataa kukubali kiini ama mzizi wa tatizo.
Ujinga vile vile utimilika kwa kuendekeza ushabiki wa mdomoni (bila kufikirisha akili), unafiki, uzandiki, chuki binafsi na undumilakuwili..

Niseme tu kuwa matatizo kwenye sekta mbalimbali nchini Tanzania chanzo chake ni system mbovu iliyokita mizizi imara kwa kupigiwa chapuo na watawala walaghai na wasaka fursa wa liccm..!
Ni aibu kuwa wale wale waloleta matatizo ndo leo wanahaha kutafuta mchawi alotuloga..!!
Tatizo walete wenyewe kwa makusudi kabisa alafu leo kwa makusudi yale yale waanze kuimba mapambio ya kutafuta mbuzi wa kafara..!

Ingekuwa nchi za mbele lile lidubwasha au jinamizi linaloitwa ccm lingefutiliwa mbali..!
Yes! Dawa ya kansa za aina kama hii ya liccm ni kulingoa tu..!
Matatizo mara zote yapo kwenye chain. Usipokuwa makini utahangaika na joints za mnyororo chakavu wakati ni nafuu sana kubaki bila mnyororo...!!
Otherwise we are all becoming very dump and stupid!
 
Miaka mingi iliyopita nilivutiwa sana na vyama vya upinzani haswa kutokana na unyonyaji wa chama tawala na sera nzuri za kumkomboa mwananchi kutoka vyama vya upinzani.

Lakini sasa mwatufanya chapati kutugeuza mtakavyo!

Mara Lowassa fisadi papa mara ni mtakatifu!!!

Mara mikataba ya madini ipitiwe upya mara jitihada zinaanza mnageuka na kututisha!!!

Mara kodi ya magari kwa ajili ya barabara iwekwe kwenye mafuta.....mambo yanawekwa sawa mnaruka kimanga!!!!

Hivi mnasimamia nini haswa au kupingapinga?

Dira yetu haswa ni ipi au kupiga siasa kwenye misiba na matatizo ya wananchi kuyafanya mtaji wa kisiasa?

Roho inaniuma sana mnapopinga mambo yenye maslahi kwa taifa na ni wazi hamna uchungu na wananchi bali mnataka kutawala media tu kujijenga kisiasa.

Sisi tunaowaunga mkono ni kwa sababu ya kuboronga kwa chama tawala hivyo tuwafanya mbadala hivyo msifikiri tumechanjiwa damu na nyinyi na kufanya mpendavyo...

Jee Baba rai muna mpizani humu katika hii list?

WALIOTAJWA HADI SASA

1. MAAFISA wa TRA
2. AG A. Chenge (CCM)
3. AG J. Mwanyika (CCM)
4. DAG Felix Mrema (CCM)
5. Mkurugenzi Idara ya Mikataba..Mary Ndosi (CCM)
6. Kamishna Dalali Peter Kafumu (CCM)
7. Waziri Prof. Muhongo (CCM)
8. Waziri D. Yona (CCM)
9. Waziri A. Kigoda (CCM)
10. Waziri Karamagi (CCM)
11. Jaji Julius Malaba
12. William Ngereja (CCM)

Halafu rais anauliza ni nani aliyeturoga?

Jibu;[HASHTAG]#Chamachamapinduzi[/HASHTAG]

Kwa hisani ya comrade Baraka Mfilinge.
 
Jee Baba rai muna mpizani humu katika hii list?

WALIOTAJWA HADI SASA

1. MAAFISA wa TRA
2. AG A. Chenge (CCM)
3. AG J. Mwanyika (CCM)
4. DAG Felix Mrema (CCM)
5. Mkurugenzi Idara ya Mikataba..Mary Ndosi (CCM)
6. Kamishna Dalali Peter Kafumu (CCM)
7. Waziri Prof. Muhongo (CCM)
8. Waziri D. Yona (CCM)
9. Waziri A. Kigoda (CCM)
10. Waziri Karamagi (CCM)
11. Jaji Julius Malaba
12. William Ngereja (CCM)

Halafu rais anauliza ni nani aliyeturoga?

Jibu;[HASHTAG]#Chamachamapinduzi[/HASHTAG]

Kwa hisani ya comrade Baraka Mfilinge.
Kuwa mwana fisiem ni laana tosha kabisa. Maana wachawi wa maendeleo ya nchi yetu ni hao,ila kifo chao chaja,let's buy a time.
 
Back
Top Bottom