Mshukuru Mungu kwa yote,pili waone madaktari watakupa ushauri,ili kumbuka uliapa kwamba si dhiki wala magonjwa vitakavyokutenganisha na mkeo........Mpende na mlinde mkeo huku ukimpa moyo wa faraja.
Kuna vifo vya aina mbili vifoo vya kimwili na kifo cha kiroho, kifo cha kimwili ni pale roho inapotengana na mwili na kifo cha kiroho ni pale ww au mm ninapotenda dhambi natengana na mungu nakuwa nimekufa, Isays 59:2.
Ndugu zangu kuna walimu wengine ambao mwaka 2006 wlimaliza chuo cha grade3A ila kwakuwa walisomeshwa na mashirika ya dini kuwa wakitoka chuo warudi kufundisha shule za mashirika hayo kwa mkataba wa miaka 3 hadi 5, sasa wamemaliza mikataba hiyo wanataka kurudi katika ajira za serikali je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.