Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

Picha hiyo inaonyesha jinsi watanzania wanavyochukua vyakula vyetu km sukari, mahindi nk na kuuza nchi za nje wakati huku kwetu vinakuwa vitu adimu.
 
kp04012013.jpg
 
afu wanakataa wafanyabiashara wasiimport sukari tokanje wakati wao wanaitoa wakiichukua kwa bei nafuu na kuiuza kwa bei ya juu huku wakisababisha na kwetu iwe bei juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom