Joseph Mbilinyi (SUGU) MB afanya kweli Mbeya Mjini

Joseph Mbilinyi (SUGU) MB afanya kweli Mbeya Mjini

Naendelea kukubaliana na wewe kwa asilimia 100% uliyoyaandika hapo juu............wenyeji wa Mbeya wanahitaji kujifunza kutoka mikoa kama Kilimanjaro (Moshi), Tanga na hata Arusha..........nakubaliana na yule Mkuu wa Mkoa aliyeita Kijiji Kikubwa...............sidhani hata kama Mbeya ilikuwa na Masterplan!!....ni aibu aibu kuita Mbeya jiji!!.....Mbeya mjini yote inabidi IVUNJWE na iundwe/ipangwe upya kabisa.........I'm sorry mashemeji zangu......ukweli lazima tuuseme...na ninamshukuru sehemeji yangu masopakyindi kwa kuliona hilo............

Unajua sifa zinapondisha wilaya hadhi hadi kufikia jiji? na sehemu zote Duniani majiji hutofautiana kulingana na history,location na jamii husika....Mbeya ni jiji linalocomprise jamii ya wakulima....hata Jiji la Newyork,Chicago huwezi ukafananisha na kansas and boston cities.
Uwepo wa wachuuzi mijini ni sababu ya sera mbovu za kuwaendeleza vijana nchini na wala sio kuwaondoa...waende wapi???? nadhani hujafika Lagos!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nadhani mtoto anaendelea vizuri.Sugu ana wahandisi wa kujenga na kusimamia barabara mpaka mumsifie yeye.Kwa nini msikubali kama mwenyekiti wenu alivyosema mnyonge mnyongeni lakini......Kwenye barabara kikwete kafanya kazi kubwa sanaView attachment 78070
Magamba mtatapatapa sana miaka mitano hii Sugu amewashika panapostahili sasa mmebaki kujambajamba tu kama punda.
Hizo barabara kwanini hazikujengwa wakati wa mpesya? Hizi taarabu unazoimba hapa hata mpesya aliziimba sana mwaka 2010 lakini wananchi hawakufanya makosa, walitambua ni mbunge yupi atachagiza maendeleo na ndipo wakamchagua Sugu ambaye anawahenyesha magamba huko Mbeya.
 
Mmm !!!! Mbeya yataka moyo usanii mwanzo mwisho !! mbaya zaid mpaka kwa watu wasomi tunaowategemea siasa imewachakachua kiasi kwamba wanacheza ngoma kama vipofu!!! ukifika mahali unabeza kazi na juhudi za wazi zilizofanywa na hata kufikia kuzichakachua kuwa ni kazi za sugu tumekwisha kwani "FELIX MWAKYEMBE NI MWALIMU WANGU" Namkubali sana ila kwa hii article ni shaka kwani anafahamu vizuri miradi hii??? na ni baadhi ya miradi ikiwepo ya hostel za jiji, soko (mwanjelwa) office ya jiji, na shule mbalimbali za kata zipatazo 28 na dispensary, zimetokana na watu kuandika paper zao na kushawishi kwa kwenda mbele kupata fedha hizo ili miradi iende, Mh wangu Sugu kwa mbeya anatakiwa kutuliza kichwa ili aweze kuja na legacy ya kwake badala ya kumdanganya kwa kazi za wenzake aonekane anaperform, kiufupi labda mwakyembe angeniambia kuzagaa kwa wamachinga na uchafu kukithiri ni juhudi za viongozi wa awamu hii ningeweza kukubaliana naye.
Legacy ya Sugu hapo Mbeya ni hao machinga, katoka machinga amechaguliwa na machinga na jiji lita baki kuwa la kimachinga.

Kwa kukosa miundombinu iliyoenda shule, moto Mwanjelwa na kila soko kuu hauishi kila mwaka.

Mbaya zaidi umachinga umachinga emeanza kuzoeleka na jiji badala ya kuendelezwa viosk vimetandazwa kati kati ya jiji zima na soko hadi main streets karibu na Sokoine stadium.

Huu mimi naita uozo unaotokana na kuwa na akili ya kimachinga pamoja na uwakilishi wake.
 
Unajua sifa zinapondisha wilaya hadhi hadi kufikia jiji? na sehemu zote Duniani majiji hutofautiana kulingana na history,location na jamii husika....Mbeya ni jiji linalocomprise jamii ya wakulima....hata Jiji la Newyork,Chicago huwezi ukafananisha na kansas and boston cities.
Uwepo wa wachuuzi mijini ni sababu ya sera mbovu za kuwaendeleza vijana nchini na wala sio kuwaondoa...waende wapi???? nadhani hujafika Lagos!

Mkuu........binafsi sina shida na wachuuzi.......nini NewYork, Chicago....nenda hata Paris, Nairobi kuna wachuuzi kibao.....Nigeria (Lagos) nimeishi na kufanya kazi huko.....but that was not my point........jambo la msingi hapa ambalo nimelizungumzia ni Masterplan ya Mji wowote ule (Mbeya ikiwa ndio focus yetu kwenye mjadala huu)......angalia mifano niliyotoa.....kwani Tanga, Moshi au Arusha hakuna wachuuzi/machinga?.........

Unaposema..............
.............Mbeya ni jiji linalocomprise jamii ya wakulima.......
...una maana gani.......ni nini hasa unachotaka ku-justify.........?
 
......

Kwa kukosa miundombinu iliyoenda shule, moto Mwanjelwa na kila soko kuu hauishi kila mwaka.

................Huu mimi naita uozo unaotokana na kuwa na akili ya kimachinga pamoja na uwakilishi wake.

Mkuu.....kwneye mambo ya mipango miji ukileta uliberali wa kimachinga ndio tunaishia kupoteza mali na hata wakati mwingine maisha kwenye majanga ya moto...........

Mara kadhaa nikienda kutembelea wakwe na nikianza kupandisha ile milima (nikitokea intersection ya Uyole) unauona mji wa Mbeya jinsi ambavyo ulivyo shaghala baghala.....sasa ukijumuisha na hizo biashara ambazo haziko planned.......dah kweli inakuwa ni "kijiji kikubwa"................nafikri kuna umuhimu wa kuendeleza ile miradi ya USRP na hasa kwa mji wa Mbeya........
 
Hakuna eneo kama hilo Mbeya.Usidanganye watu round about kuelekea uhindini ni mnara wa Tanu (mwenge juu), ukitokea Mwanjelwa kwa kutumia karume road,na ukitokea Maendeleo au Ghana kwa kutumia Independent road..... Pia kuna round about ukitokea stand kuu ipo jirani kabisa na shule ya msingi Azimio (Mbalizi road)
 
Hakuna eneo kama hilo Mbeya.Usidanganye watu round about kuelekea uhindini ni mnara wa Tanu (mwenge juu), ukitokea Mwanjelwa kwa kutumia karume road,na ukitokea Maendeleo au Ghana kwa kutumia Independent road..... Pia kuna round about ukitokea stand kuu ipo jirani kabisa na shule ya msingi Azimio (Mbalizi road)...pia kuna round about nyingine Mtaa wa BHOJAN PHARMACEUTICAL,INVESTMENT BANK na kiunga cha hiyo round about ni triangle na sio round......narudia tena mleta mada maelezo yapo sahihi ila hiyo picha ni yako, pia Sugu mmemlewesha sifa suala la Machinga sasa Mby ni kero tupu(barabara ya karume kuelekea Crdb bank haipiki vizuri,ofisi za Tanesco kanda ni tatizo,Tra kuelekea Posta,ofisi za jiji,kituo cha mabasi madogo rufaa hospital pale hadi machinga wa nyanya,twende stand kuu pale hovyo kabsa.)
 
masopakyindi, kama bado unabisha nenda kwa Sugu na genuine issue au problem kuhusu Mbeya then utaona mambo. kama unamuogopa kama Magamba wanavyomuogopa niambie mm nitakupelekea halafu uone mambo, ila lisiwe hilo la wamachinga kwani hapo tatizo ni MAGAMBA....
 
Hii round about ni ya wapi mleta mada ? uploadfromtaptalk1357282529633.jpg
 
Msiwadanganye watu ambao hawajafika Mbeya.

Miradi hiyo haikuanzwa wala kufikiriwa na huyo mpiga zumari, Sugu
Miradi mnayoitaja mingine imekuwepo hata kabla Sugu hajaanza kuimba.

Zaidi ya hapo hebu mtuonyeshe jinsi huyo Sugu anavyoweza kuondoa machinga barabarani pale Mwanjelwa.
Barabara ya kimataifa imegeuzwa kuwa uchochoro wa mtaa wa Congo, na foleni haziishi tokea Mafiati hadi Sai.

Kama huyo Sugu wenu ana akili ya kumtosha atatue hilo tatizo- hapo mtasikia ooooh, sie hatuhusiki!!

Ila kungekuwa kumedorora mngemnanga kuwa hafanyi kitu kama mnavyomshualia Mnyika na maji Ubungo.
 
Picha iliyowekwa ni ya jiji la Mwanza.
Ni kweli kabisa!
Mimi nimekaa mza miaka zaidi ya 18 na mbeya naijua kama kiganja changu!
Inawezekana ukawa unaijua Mbeya, lakini hiyo round about si ya Mbeya

hilo eneo ni kweli ni round about ya barabara ile inakuja uhindini, sokoni matola,(hospital ya mkoa aka central police) na ile ya kuelekea uwajanja wa mpira wa sokoine (Mwanjelwa)
Si kweli
:target:Mkuu MKWAWA! umejitahidi kuweka karibu kila kitu waz kuhusu mpango wa ujenzi wa barabara za majiji nchin kwa kutumia fedha za word bank. lakin umewadanganya watanzania katka attachment yako ya picha inayoonesha sehemu bara bara. kwa taarifa yako na wasomaji hapo ulipotuonesha sio MBEYA n MWANZA ktk makutano ya barabara itokayo Igoma na ile iendayo air port na BUHONGWA. labda utwambie maana ya kuweka iyo picha mwanza kwenye habari za mbeya. Otherwise edit post yako ili usiwachanganye wasomaji.

Round about ya Mbeya ni hii hapa chini


Mbeya 1.jpg Mbeya 2.jpg Mbeya 3.jpg
 
Mkuu.....kwneye mambo ya mipango miji ukileta uliberali wa kimachinga ndio tunaishia kupoteza mali na hata wakati mwingine maisha kwenye majanga ya moto...........

Mara kadhaa nikienda kutembelea wakwe na nikianza kupandisha ile milima (nikitokea intersection ya Uyole) unauona mji wa Mbeya jinsi ambavyo ulivyo shaghala baghala.....sasa ukijumuisha na hizo biashara ambazo haziko planned.......dah kweli inakuwa ni "kijiji kikubwa"................nafikri kuna umuhimu wa kuendeleza ile miradi ya USRP na hasa kwa mji wa Mbeya........
Mkuu nakubaliana na wewe juu ya "kijiji kikubwa" kwa jina la Mbeya.

Watu wnaoendesha kijiji hiki hawana vision utafikiri hawasafiri na kuona mifano humu humu Tanzania.

Kwa kweli huwa nakereka sana mtu anapotetea uozo kama unaoonekana Mbeya, sasa wachuuzi wa nyanya hadi katikati ya "jiji".

Kwa wale wanaopanga MasterPlan wakifikiria sana nyanya nyanya na vitunguu, hawatakuwa na nafasi ya kufikiria mambo makubwa na muhimu zaidi kuendeleza "jiji".

Na ndio maanaa nalaumu kupata watu wenye upeo mdogo kama Sugu, angekuwa na upeo mkubwa zaidi,hata kama angekuwa chama gani ningemsapoti
 
masopakyindi, kama bado unabisha nenda kwa Sugu na genuine issue au problem kuhusu Mbeya then utaona mambo. kama unamuogopa kama Magamba wanavyomuogopa niambie mm nitakupelekea halafu uone mambo, ila lisiwe hilo la wamachinga kwani hapo tatizo ni MAGAMBA....
Sina haja ya kumuogopa mTanzania yeyote mradi ana nia njema na nji hii.
Kuonana na Sugu si tatizo, tatizo ni hao machinga waliozagaa jiji zima kama nzi wa masika.
Wamekuwa kero kubwa.

Na ukitetea sana udhauifu kwa sababu ya kutaka kura tu basi tutabaki tunashangaa shangaa wakati miji kama Arusha na Mwanza inasonga mbele na kupendeza.

Ila mjulishe tu huyo Sugu kama uwezo wake ni kuwawakilisha wamachinga basi atupishe wengine waliendeleze jiji hilo la Mbeya ili liendane na mabadiliko yanayostahili.
 
Ila kungekuwa kumedorora mngemnanga kuwa hafanyi kitu kama mnavyomshualia Mnyika na maji Ubungo.
Mkuu tulikuwa tumeenda "kuhiji" makwetu na kukuta uozo wa kimipango.
Mnyika anawekwa kapuni kwanza tuone kilio chake cha maji Ubungo kinaishia wapi.
 
Acha upuuz wewe kwani mpesya alidmdanya nin.?mkurugenz wa jij anamsifu xana sugu huku mbeya kua kuongea kwake vzur na mawazr ndo kunalddta maendleo mbeya..

Ficha Upumbavu Wako,Hujui Unachoongea,kwa ufupi kwenye mipango ya kimaendeleo inayotekeleza na Jiji na Serikali,Mbeya haina Mbunge,Sugu ni mtupu mno.
 
Naogopa kutukana siku ya leo, kwani ukianza na tusi utamaliza kwa matusi acha tu nikuache ila nikueleweshe.
Mimi nimekaa mza miaka zaidi ya 18 na mbeya naijua kama kiganja changu! Haya kama hapo si mbeya, mwanza ni sehemu gani? Hapo ni mbeya kwenye round about ya kwenda Hospital ya mkoa na ile ya kuelekea ofisi za jiji (Halmashauri) na barabara nyingine ndiyo hiyo unayoingilia kama unatokea Mafiati au CRDB.
Kamongo we.

...Kubali tu kuwa Mbeya huijui,hapo sio Mbeya...
 
Huo utekelezaji umeanza baada ya chadema kushinda bunge za mjini? Peleka hili liinsha lako kwa wanafiki wenzako wa ccm

Aina ya siasa hizi za vipofu kama wewe ndio zimetusaidia Tanzania na hasa Mbeya tuendelee kuwa kama tulivyo. Katika hali ya kawaida kabisa nilitegemea ungebisha kwa hoja na kushambulia vipengele ambavyo nimeweka ushabiki wa kisiasa kama upo, kwa mshangao wangu na wapenda nchi/,mbeya wengine umekuja na majumuisho mepesi kama kwamba hujui kusoma wala kuandika.

Kama wewe ni mzazi inasikitisha kwa sababu sifikirii wewe kama mzazi upeo wako ndio huo, hao wanao nadhani watakuwa na hali mbaya sana!

Hivi pale niliposema viwango vya barabara si vizuri nilikuwa namshambulia nani kwa upeo wako?

Mungu ibariki Tanzania tajiri yenye wakazi masikini zaidi duniani.
 
Aina ya siasa hizi za vipofu kama wewe ndio zimetusaidia Tanzania na hasa Mbeya tuendelee kuwa kama tulivyo. Katika hali ya kawaida kabisa nilitegemea ungebisha kwa hoja na kushambulia vipengele ambavyo nimeweka ushabiki wa kisiasa kama upo, kwa mshangao wangu na wapenda nchi/,mbeya wengine umekuja na majumuisho mepesi kama kwamba hujui kusoma wala kuandika.

Kama wewe ni mzazi inasikitisha kwa sababu sifikirii wewe kama mzazi upeo wako ndio huo, hao wanao nadhani watakuwa na hali mbaya sana!

Hivi pale niliposema viwango vya barabara si vizuri nilikuwa namshambulia nani kwa upeo wako?

Mungu ibariki Tanzania tajiri yenye wakazi masikini zaidi duniani.
Mkuu naona umebugia chimpumu unabwabwaja Kama kichaa
 
Mkuu........binafsi sina shida na wachuuzi.......nini NewYork, Chicago....nenda hata Paris, Nairobi kuna wachuuzi kibao.....Nigeria (Lagos) nimeishi na kufanya kazi huko.....but that was not my point........jambo la msingi hapa ambalo nimelizungumzia ni Masterplan ya Mji wowote ule (Mbeya ikiwa ndio focus yetu kwenye mjadala huu)......angalia mifano niliyotoa.....kwani Tanga, Moshi au Arusha hakuna wachuuzi/machinga?.........

Unaposema..............

...una maana gani.......ni nini hasa unachotaka ku-justify.........?

Shughuli kuu ya kiuchumi inatoa taswira ya jiji husika....manispaa ya moshi na jiji la Arusha kwa mfano vinategeme shughuli ya utalii....wakati Tanga uliandaliwa kuwa mji wa viwanda enzi za uhai wa bandari....na mbeya ni miongoni mwa jiji katika mikoa minne ya kilimo kikuu Tanzania!
 
Back
Top Bottom