cooked news. Pakua tule
- Kama ni kweli amekamatwa ni good news cause tunaishi kwa katiba na sheria, mlisema Zitto kama anataka kugombea urais afuate katiba ya chama chake sasa kwa nini mnaona huyu Mwanajeshi asifuate katiba ya jeshi inasema nini?
Le Mutuz
Kuna suala la hekima..hili linatusumbua sana.
wewe unamfahamu?Lazima atakuwa ni mwanajeshi,ila kwa vile usanii unaongoza hapa nchini lazima mambo yapindishwe
Kuna suala la hekima..hili linatusumbua sana.
yaani pamoja na miwani lakini bado tu huoni vizuri?Sijaona ulilolisema hapa!
amewakilisha nini?Lakini amewakilisha na pia amedhihirisha kuwa system yetu ya usalama ni shallow sana.
You still belive it is cooked news despite the photos!
watu wa ukweli hawafichi undani wa wanayo yaamini ---- kamanda ungana na sisi nchi hii inahitaji ukombozi - ukombozi wa ki- FIKRA
wewe unamfahamu?