Kobaba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 492
- 341
acha ubishi wewe tafuta waraka wa mishahara ya watumishi wa serikali uliotolewa mwaka huu.....
mwalimu mwenye diploma anaanza na ngazi ya mshahara TGTS B1 na wa cheti TGTS A1
unajifanya unajua, kumbe unaungua jua tu!! Kwako ww wanaojua unawaona wajinga, kumbe ignorant ni ww. Unabishana na mtu ambae yuko sahihi?