Recent content by ANNY FRANCIS

  1. ANNY FRANCIS

    Mwanza: Auawa kwa kupora simu aina ya TECNO

    Duuu ukute simu yenyew aliyoiba nayo feki daah
  2. ANNY FRANCIS

    Lazima nimfanyie kitu mbaya, subiri tu, anakuja kwangu na kuagiza bia? Ngoja

    Hahahah sasa kama umependa si umuhamishe huyo mwanamke hapo kwenye nyumba ya xhubby wake jamn muishi kwa uhuru
  3. ANNY FRANCIS

    MAISHA: Naumia sana, kwanini huwa sipati mtu anayenijali?

    Wanadam ni watu waajabu mnoooo,mtumaini Mungu tu
  4. ANNY FRANCIS

    Mbowe: Haturudi nyuma

    Hahahahaha balaa
  5. ANNY FRANCIS

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mada nimeipenda,ila Dawa nzuri kwa viroboto cha kwanza ni usafi wa banda la kuku wa Mara kwa Mara na kuna dawa za kumwagia bandani
  6. ANNY FRANCIS

    Kweli Tanzania inahitaji Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya?

    Kweli mtoa mada umefikiria Sana'a na ukilichunguza kwa umakini utabaini jambo hili halina maana kubwa zaidi ya kupotezea taifa fedha nyingi ambazo zingefanya maendeleo ya jamii
  7. ANNY FRANCIS

    Baraka da Prince amtambulisha Naj nyumbani

    Sasa tusiingie au, maana asilimia kubwa waliomo huko wanajuta
  8. ANNY FRANCIS

    Nataka kujua mkopo wa Bayport

    Ndo ivo mm mwnyewe rafk angu kakopa mil 3 anakatwa milion 11 bayport
  9. ANNY FRANCIS

    Laki tano tu unaweza badilisha historia

    Na kuhusu masanja alisema mwenyeweee mafanikio alionayo ni kwa sababu ya kilimo sasa kwann na ss tusiiige mifano mizuri kama hyo tutengeneze mkwanjaaa
  10. ANNY FRANCIS

    Laki tano tu unaweza badilisha historia

    Jamani mi nafikiri mtoto wa kuku amejaribu kuonyesha njia kua hata ukiw na mtaji mdogo uneza fanya mambo yakuingiza pesa nyingi zaid, hana maana kua ni lazima hyo ela uilimie matikiti, tuache mawazo mgando tuamkeni jaman
  11. ANNY FRANCIS

    Nataka kujua mkopo wa Bayport

    Sikushauri ukope bayport diffenda wana riba kubwa mnoooo ila niliwauliza maswali kma yako jibu walilonipa ni kua wao mikopo yao ina bima
  12. ANNY FRANCIS

    Kozi za Afya 2016/2017, soma hapa

    Duu elimu ya bongo bwana
  13. ANNY FRANCIS

    Madhara ya Sidiria kwa Wanawake

    Duuuu aiseee ni hatariii
Back
Top Bottom