Recent content by AndrewMwanga

  1. A

    Halima Mdee achambua mswada wa sheria ya vyama vya siasa bungeni

    upinzani wa kisiasa si kupinga kila kitu bali ni ushindani wa hoja na sera wananchi wakizikubali basi chama chenye sera zilizokubaliwa kitashika hatamu. kwa mfano Wanadai ccm inabana uwanja wa demokrasia kwa kuogopa kung'olewa hili si sawa wakati ukifika hakuna ubishi kama yaliyotokea Ghana...
  2. A

    Wabunge Dr. Slaa na Dr. Tarab wafanyiwa umafia!

    wakuu si vyema kumuhusisha mtu,taasisi au cham chochote cha siasa wakati sula lipo mikoni mwa vyombo vya usalama kwa uchunguzi makini. Tusubiri tuone matokeo ya uchunguzi then utaratibu ambao nchi imejiwekea kushughulikia uhalifu kama huo utafuata. Naamini jeshi la polisi na idara ya...
  3. A

    Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

    lets wait and see,
  4. A

    Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

    samahani wakuu neno ubunge limetumika kimakosa hapo juu linatakiwa lisomeka BUNGE
  5. A

    Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

    Wakuu hoja ipo kwenye kamati ya ubunge mambo ya nje,ulinzi na usalama, kinachotakiwa kama waziri mkuu alivyosema DR.slaa angesubiri mchakato umalizike hapo pangekuwa patamu na ingekuwa kazi rahisi kumuhukumu muhusika halisi. na kama Mh.DR.Slaa anataka skata la ID Lishughulikiwa basi Mh.Spika...
  6. A

    Economy crisis in Africa...

    Governor wa BOT katika mahojiano yake na wabunge mjini DODOMA alitabainisha kuwa msukosuko wa uchumi Unatokea hivi sasa duniani hautatuasili sana kwani uchumi wa wetu haujashikamana sana na nchi zilizoendelea,ila alitotahadhari kuwa kwa exportation zone zao la pamba limeanza kuathirika kidogo...
  7. A

    Wabunge Dr. Slaa na Dr. Tarab wafanyiwa umafia!

    Nudgu yangu Ibrah,Binafsi naamini kuwa vyombo vya dola vipo kwa ajili ya kulinda umma na mali zake.sasa kwa ajili ili mradi tayari lipo mikononi mwa vyombo vya usalama kama alitabaiinisha mtendewa kwenye mahojiano na ITV,tusiwe waganga wa kienyeji kutabiri bali yeye binafsi mh.DR.slaa anaviamini...
  8. A

    Wabunge Dr. Slaa na Dr. Tarab wafanyiwa umafia!

    tuviachia vyombo vya dola vifanye kazi yake kwa kuviamini
  9. A

    Wabunge Dr. Slaa na Dr. Tarab wafanyiwa umafia!

    Kama ilivyojiri leo bungeni katika kuchangia muswada wa sheria ya vyama vingi yafuatayo nimeyaona ni muhimu sana kwa ukuaji wa demokrasia ya vyama vingi hapa nchi pia kwa mustabali wa nchi yetu tuipendayo ya Tanzania. 1. Mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa. -ni vyema akawa mtu mwingine na...
  10. A

    Wabunge Dr. Slaa na Dr. Tarab wafanyiwa umafia!

    Ni suala linalosikitisha,tuviachie vyombo vya usalam vifanye kazi yake kiufasaha
  11. A

    Miaka 32 ya CCM - Upinzani wa Kweli "utatoka" CCM!

    Kidumu chama cha mapinduzi ccm.homgera kwa kutimiza miaka 32
  12. A

    [Membe] There is no good coup or bad coup

    we need democracy in our continental
  13. A

    CUF kuunguruma Zanzibar kesho.

    ahsante kwa taarifa tunausubiri tusilie yatakayojiri kisiwani huko
  14. A

    Tanzania: Kushuka kwa thamani ya shillingi, mfumuko wa bei na siasa zetu!

    BOT inalifanyia kazi suala hilo haliweze kutokea overnight tuwe wavumilivu na utendaji wa serikali yetu ya awamu ya nne mambo yatakuwa swali mkuu
  15. A

    Bungeni wiki hii

    Kwa kweli ni jambo linaumiza sana kuona mtoto mdogo mwenye ulemavu wa ngozi anakatwa kiungo chake na kuvuja damu hadi mauti yanamfika.kwa binadamu yeyoye ukishuhudia vitendo hivi laziam utalia au machozi yatalengalenga kwenye macho yako. Mh. PM Ameonyesha ni jinsi gani yeye kama binadamu...
Back
Top Bottom