Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Bunge la wakati huu limekuja kwa staili mpya. Ni jambo adimu sana kwa mtu mkubwa kama Waziri Mkuu kumwaga machozi ndani ya Bunge. Hii inaonyesha Waziri Mkuu hakukubaliana na kitendo cha vyombo vya habari kwamba yeye alikiri kwamba anayemuua albino nae auawe. Nina imani alikiri kwamba sheria kali zichukuliwe dhidi ya wanaowaua albino. Kwa mawazo yangu ni kwa nini anaemuua albino nae asiuawe?
Naombeni mchango wenu.
Naombeni mchango wenu.