Kama wameweza kuingia na kuweka vifaa hivyo je tuna uhakika gani kuwa Afya Dr. Slaa haijadhuriwa?. Ili Serikali ijitoe katika hili, Bunge Limgharamie Dr. Slaa na mwenzake kwenda kufanyiwa uchunguzi wa afya zao katika nchi ambazo wao wenyewe watazichagua kwa kuona kama wameisha wekewa "Slowly killing poison", vinginevyo serikali haitakwepa lawama yoyote ile endapo Dr. Slaa na mwenzake watapoteza maisha hata kwa malaria.
Watu wa usalama watakachofanya hapo ni kuja kuvichukua vitu na kuvirudisha store na kutoa taarifa kuwa ni toys etc. Hii ni kashfa kubwa kwa bunge na serikali yetu kwa kutotoa ulinzi wa kutosha kwa wabunge wetu. Nashauri serikali iwekee kipaumbele suala la hawa jamaa kuangaliwa afya zao nje ya nchi kama nilivyosema mwanzo ili kujisafisha na hii scam.
Watu wa usalama watakachofanya hapo ni kuja kuvichukua vitu na kuvirudisha store na kutoa taarifa kuwa ni toys etc. Hii ni kashfa kubwa kwa bunge na serikali yetu kwa kutotoa ulinzi wa kutosha kwa wabunge wetu. Nashauri serikali iwekee kipaumbele suala la hawa jamaa kuangaliwa afya zao nje ya nchi kama nilivyosema mwanzo ili kujisafisha na hii scam.