Recent content by amakrey

  1. amakrey

    Weekend Story! Bigger Levels, Bigger Devils

    Lara, 'the haves and have nots', baada ya Nadya kutoboa, mahusiano yake na Vivi yameishiaje? Dr wa Moscow je? Kama umekata njiani vile fanani, hadhira yako haikuelewi ujue
  2. amakrey

    Ma-TO wawili katika mtihani mmoja Japhet S John na Aude G Kileo

    Kuna binti anaitwa Imakulata moshi, ni TO ila hazungumzi, nadhan itapendeza mkipita kuona aliyoyafanya huko kwa madiba hapa imaculate.github.io. Kwa sasa nadhan yupo microsoft as developer
  3. amakrey

    Ma-TO wawili katika mtihani mmoja Japhet S John na Aude G Kileo

    Kama nakumbuka vema, kihombo alianzia tanga tech akahamia tosa. Msuli wake mwingi alipigia mzumbe tosa alikuwa anabipu. kwa upande mwengine inawezekana kukaa mzumbeni ndo kulimbeba. Alinifunza topic ya Heat form five.
  4. amakrey

    Ma-TO wawili katika mtihani mmoja Japhet S John na Aude G Kileo

    Mwaka huo nilikuwa njuka kigo, alikuwa darasa moja na kina 'Bull' wa dorm 21?
  5. amakrey

    Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

    Hii inamfaa sana, heko Mtangoo
  6. amakrey

    Kwanini mayai ya kuku wa kisasa yana Demand kubwa na itaendelea hivyo hivyo

    Kama nimeelewa vema desa, demand inapokuwa kubwa mzalishaji anaongeza uzalishaji pia, hivo kama alivosema mdau wa dodoma, vile supply ya mayai ya kisasa ni kubwa na demand yake itaendelea kuwa kubwa tofauti na mayai ya kienyeji Sent using Jamii Forums mobile app
  7. amakrey

    Kwanini mayai ya kuku wa kisasa yana Demand kubwa na itaendelea hivyo hivyo

    Ni admit, nilijifunza form 2 kwenye kilimo hii kitu juu juu leo nmerudi kuangalia tena, kuna vingine sikufundishwa, uko sahihi kwa statement yako, 'law of supply' sikuwahi ijua kabla Sent using Jamii Forums mobile app
  8. amakrey

    Kwanini mayai ya kuku wa kisasa yana Demand kubwa na itaendelea hivyo hivyo

    Mkuu Chasha , ni kweli supply ikiwa juu na demand inakuwa juu? Mi sio mchumi lakini nahisi pana walakini hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. amakrey

    STADO Mzizima Rally

    Kesho wrc watu wanafanya yao rallyportugal, tuone kama Neuville atachukua ushindi wa tatu au ogier atarudi kwenye viwango
  10. amakrey

    Siku Tukirudi kweye barua za Maneno kumi ndo watajua...

    Hizo barua nakumbuka kuziona katika hesabu darasa la saba. Matumizi yake sina uhakika yalikuwa lini ila nahisi awamu ya kwanza au ya pili ya uraisi tanzania
  11. amakrey

    Mnaongeleaje wizi wa mafuta sheli, yaani kujaza upepo?

    Jana oilcom ubungo wamenidukua, hii mara ya tatu sasa. Mashine yao inasoma kiasi nilicholipia ila mpaka nafika mjini gauge bado iko chini. Leo nmeenda shekilango Total kiasi kile kile cha jana gauge fasta imefika nusu. Sidhani ka nitakuwa na biashara na hawa jamaa tena.
  12. amakrey

    Huyu James Mfugale anaetafutwa mitandaoni kafanyaje?

    Omba mods warekebisha na title, nimeona katika maelezo yako umebadili kuwa James. Ulitupa taharuki wengine kwa sabu huyo mshikaji (John) tunamfahamu na hiyo haikuwa picha yake, rejea post ya MALCOM LUMUMBA #9
  13. amakrey

    Huyu James Mfugale anaetafutwa mitandaoni kafanyaje?

    Mkuu, mbona hyo RB ni ya 2010, ndo ulikuwa unafungua mwaka nini? Maana hata jina sio la uliyemtaja katika kichwa cha uzi wako.
  14. amakrey

    Valentine Story! Guess Who Is Getting Married? Marriage games

    Lara1 kama wasomaji wengi walivosema, ni kama story umeifupisha, KLM ni mkali, pole yake Baba Melissa ingawa ametoa darasa zuri zaidi naweza dhani kuliko wahusika wengine. Lakini, nilikuwa namsubiria sana mme wa kwanza wa Anny, ni kama kulikuwa na kitu afu hujakizungumzia, tulimuacha anamsubiria...
Back
Top Bottom