MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Baba yake ni kigogo mmoja wa serikali zilizopita.
Anatuhumiwa kwa kufanya kosa.
Kafanya makosa gani tena???
Baba yake ni kigogo mmoja wa serikali zilizopita.
Anatuhumiwa kwa kufanya kosa.
....hahahahaha...,hii ngoma nagwa zaidi ya Mzee Ruksa!.........Hahahahaha wewe fala mimi ntakuzika.
.........Na nitakuwa wa kwanza kuleta hadi taarifa za msiba humu!
Kama hafananii ngoja waitoe waweke ya kwako.Nimeona picha moja ya jamaa mstaarabu ana RB ya polisi, jamaa wanamtafuta kwa tuhuma za wizi.
Sasa najiuliza wizi upi jamani mbona kijana hata hafananii.
Acha ulongo banaaaa! Hapa tumefikishwa na kile chama kikongwe weweeeee!Mbona watuhumiwa wa ufisadi wana sura za upole unyenyekevu ucha Mungu ila ndio wametufikisha hapa
Mkuu huyo mwanamke ndo anamtaftaHataaaa awafananiiin
weka picha
Kafanyaje naye mkuu?? Picha basiYeah NA dada Mmoja Sophia kufakunoga
Nimesoma what's up nkachokaa
ilunga afla rehan fb
Mkipatahuyo Msome wanavyomtafuta
Mimi mwenyewe nimeshangaaMkuu, mbona hyo RB ni ya 2010, ndo ulikuwa unafungua mwaka nini? Maana hata jina sio la uliyemtaja katika kichwa cha uzi wako.
faru john umalaya tu ulikua unamsumbuaHata huyu faru john ukiambiwa sio katili kwa ile sura yake unaweza ukakataa.
RB IN EXP DATE? MPWAMkuu, mbona hyo RB ni ya 2010, ndo ulikuwa unafungua mwaka nini? Maana hata jina sio la uliyemtaja katika kichwa cha uzi wako.
RB IN EXP DATE? MPWA
NILISHAREKEBISHA JINA LONG TTM KWENYE UZI... HII RB NA PICHA ZINAZUNGUKA WHATSU GRP NDIO MAANA TUKAULIZA