habari za hapa, wakuu?
Naomba msaada wa wapi naweza kujifunza LUGHA YA ALAMA.kwa upande mwingine nipo kazini naweza kusema mwajiriwa wa serikalini. Hvy muda kama unanibana na eneo nilipo! Ahsanteni
jamani, mnajua kwa nn hatufanikiwi kwa hv vyama vyetu! Leo walimu wa sayansi wanaunda chama chao, kesho walimu wa sanaa nao wataunda chama chao! Cha muhimu walimu kuungana bila kuwepo makundi then kudai haki zetu! Pamoja tutashinda
Jamani, tangu mwezi wa 9/2012 mpaka leo walimu walipopandishwa madaraja mpaka leo hawajalipwa mshahara mpya? Katibu wa CWT ameingilia kati mpaka HAZINA majibu aliyopewa kwmb hakuna madai yeyote kutoka mkuranga! Ndio inakaaje? Hebu funguka kama ni muhusika!
Mjomba, kama kuna siku muungano utavunjika hayo maduka yatakuwepo na wala hakutakuwa na kitu mtakachoweza kukiongoza! Umasikini pale pale hata muachiwe vyote! Nyambafu!
serikali, kama haitawathamini walimu kila siku matokeo kwa xcul za goverment yatakuwa mabaya hadi mwisho wa dunia....Hebu, linganisha malipo ya mbunge na mwalimu, kuna uwiano?
Jamani, naomba nami niongee haya machache! Shule nyingi zinazofanya vizuri ni zile za st., ambazo walimu malipo yao mazuri na zile zinazozalisha 3 & 4 na 0 ni zile za serikali na nyingi za KATA ambazo walimu malipo yao hayaendani na hali ya maisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.