Hakuna hata TV moja inaoyesha hii mechi online wala TVM1 an TVM2 wala TBC wala nani anaonyesha inaelekea jamaa wameamua kubania ili wafanye fitna ikibidi.
Half time tayari naambiwa
ni 1 - 0
tim gani imeshinda'
![]()
Uwanja wenyewe huu hapa. Huu ndo machava stadium
tim gani imeshinda'
Tutatoka sare tu naikiwezekana tutashinda hii game!
Bado ni dakika ya 61 tupo nyuma kwa bao 1 tugame imeisha?
game imeisha?