Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 440
Kijana wa kiume miaka kama 19 hivi karudi nyumbani akiwa kachoka na macho ni mekundu. Ile anaingia tu sebuleni kamkuta baba yake anawatch TV na baba yake akamuuliza na mazungumzo yakawa hivi;
BABA: Mbona unaonekena umechoka sana mwanangu?
KIJANA: Wala hakuna tatizo niko kawaida tu baba.
BABA: Na hayo macho mbona kama ulikuwa unalia?
KIJANA: Ni vumbi tu wala hayana tatizo.
Dakika chache baadae kijana akarudi kwa baba yake huku akitabasamu kwa mbali kisha akasema
KIJANA: Baba leo ndio nimefanya mapenzi kwa mara ya kwanza.
BABA: Safi sana mwanangu, wewe ndio kidume changu. Vipi umejisikiaje?
KIJANA: Vizuri tu ila inaumiza kiasi flani
BABA: Aah wala isikupe shida ni kawaida ukiwa unaanza hadi mpini uote sugu
KIJANA: Aah sawa
KIJANA: Baba nina swali nataka kukuuliza
BABA Uliza tu kidume changu
KIJANA: Eti unapofanya mapenzi kwamara ya kwanza huwa inachukua muda gani m.k.u.n..d.. kupona?
BABA puh! AKAZIMIA!
BABA: Mbona unaonekena umechoka sana mwanangu?
KIJANA: Wala hakuna tatizo niko kawaida tu baba.
BABA: Na hayo macho mbona kama ulikuwa unalia?
KIJANA: Ni vumbi tu wala hayana tatizo.
Dakika chache baadae kijana akarudi kwa baba yake huku akitabasamu kwa mbali kisha akasema
KIJANA: Baba leo ndio nimefanya mapenzi kwa mara ya kwanza.
BABA: Safi sana mwanangu, wewe ndio kidume changu. Vipi umejisikiaje?
KIJANA: Vizuri tu ila inaumiza kiasi flani
BABA: Aah wala isikupe shida ni kawaida ukiwa unaanza hadi mpini uote sugu
KIJANA: Aah sawa
KIJANA: Baba nina swali nataka kukuuliza
BABA Uliza tu kidume changu
KIJANA: Eti unapofanya mapenzi kwamara ya kwanza huwa inachukua muda gani m.k.u.n..d.. kupona?
BABA puh! AKAZIMIA!