Ayaaah! Keshapakuliwa huyu.

Escobar

JF-Expert Member
Sep 16, 2011
574
440
Kijana wa kiume miaka kama 19 hivi karudi nyumbani akiwa kachoka na macho ni mekundu. Ile anaingia tu sebuleni kamkuta baba yake anawatch TV na baba yake akamuuliza na mazungumzo yakawa hivi;

BABA: Mbona unaonekena umechoka sana mwanangu?

KIJANA: Wala hakuna tatizo niko kawaida tu baba.

BABA: Na hayo macho mbona kama ulikuwa unalia?

KIJANA: Ni vumbi tu wala hayana tatizo.

Dakika chache baadae kijana akarudi kwa baba yake huku akitabasamu kwa mbali kisha akasema

KIJANA: Baba leo ndio nimefanya mapenzi kwa mara ya kwanza.

BABA: Safi sana mwanangu, wewe ndio kidume changu. Vipi umejisikiaje?

KIJANA: Vizuri tu ila inaumiza kiasi flani

BABA: Aah wala isikupe shida ni kawaida ukiwa unaanza hadi mpini uote sugu

KIJANA: Aah sawa

KIJANA: Baba nina swali nataka kukuuliza

BABA Uliza tu kidume changu

KIJANA: Eti unapofanya mapenzi kwamara ya kwanza huwa inachukua muda gani m.k.u.n..d.. kupona?

BABA puh! AKAZIMIA!
 
Kijana wa kiume miaka kama 19 hivi karudi nyumbani akiwa kachoka na macho ni mekundu. Ile anaingia tu sebuleni kamkuta baba yake anawatch TV na baba yake akamuuliza na mazungumzo yakawa hivi;

BABA: Mbona unaonekena umechoka sana mwanangu?

KIJANA: Wala hakuna tatizo niko kawaida tu baba.

BABA: Na hayo macho mbona kama ulikuwa unalia?

KIJANA: Ni vumbi tu wala hayana tatizo.

Dakika chache baadae kijana akarudi kwa baba yake huku akitabasamu kwa mbali kisha akasema

KIJANA: Baba leo ndio nimefanya mapenzi kwa mara ya kwanza.

BABA: Safi sana mwanangu, wewe ndio kidume changu. Vipi umejisikiaje?

KIJANA: Vizuri tu ila inaumiza kiasi flani

BABA: Aah wala isikupe shida ni kawaida ukiwa unaanza hadi mpini uote sugu

KIJANA: Aah sawa

KIJANA: Baba nina swali nataka kukuuliza

BABA Uliza tu kidume changu

KIJANA: Eti unapofanya mapenzi kwamara ya kwanza huwa inachukua muda gani m.k.u.n..d.. kupona?

BABA puh! AKAZIMIA!

nimecheka sana khaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom