yeyote kati ya hao wawili kwa kutopata kile kinachostahili kupatikana katika mahusiano yao,pia inategemeana na malengo ya kila mmoja katika mahusiano yao
mfano mmoja kuwa na lengo la hit and run
usisubiri Valentine day ndo utoe zawadi bali jijengee desturi ya kumpa zawadi unapokuwa na fursa ya kufanya hivyo,leo usingewaza kufanya unalolitaka kulifanya kedho
Angalia mazingira aliyotoa kauli hizo, pia tutambue kuwa alikuwa kwenye sherehe za chama pasingekuwa rahisi kusema maneno yasiyoendana na siku yenyewe
kwa mtazamo wangu hayo ndo nimeelewa hivyo
tambua na magonjwa yapo,suluhisho siyo kuwa nao wengi ila ni kuchagua chaguo sahihi bila kufuata hisia zinataka nini kwa wakati huo unapojisikia kuwa na mahusiano na mwanamke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.