Recent content by Adidas

  1. A

    Vijana wadogo na mijimama

    Gari bovu huvutwa na gari zima
  2. A

    Mzimu wa kutendwa unaniandama

    Aliyekudanganya kuwa ukiwa unajua kuhonga ndo utakaa na mpenzi ni nani? Pole na jipe moyo utampata size yako atakayekupenda
  3. A

    Ushauri: Mawasiliano ya mke wangu na ndugu yake wa kiume

    Usikubali kudanganywa kwa maelezo ya mwanamke piga marufuku huo ukaribu usio na afya dhidi ya ndoa yako
  4. A

    Nini zaidi, urembo/uzuri wa sura au tabia?

    tabia ni my first priority kwangu halafu sura na muonekano unafuata
  5. A

    Katika mahusiano,yupi humkinai haraka mwenza wake?

    yeyote kati ya hao wawili kwa kutopata kile kinachostahili kupatikana katika mahusiano yao,pia inategemeana na malengo ya kila mmoja katika mahusiano yao mfano mmoja kuwa na lengo la hit and run
  6. A

    Bei ya Sukari mfupa ulioishinda serikali!

    waliopandisha wameeamua wenyewe kwa kutaka kupata faida kubwa lakini hadi vijijini wanauza 2000
  7. A

    Sex toys, biashara inayoshamiri kwa kasi

    mshana nahisi unafanya biashara ya sex toy
  8. A

    Alisema ana mpenzi wake nje ya nchi,sasa anataka nimuoe

    unastahili kuumizwa kwenye mapenzi ndo ujue umuhimu wa ndoa
  9. A

    Nimnunulie zawadi gani hii siku ya valentines?

    usisubiri Valentine day ndo utoe zawadi bali jijengee desturi ya kumpa zawadi unapokuwa na fursa ya kufanya hivyo,leo usingewaza kufanya unalolitaka kulifanya kedho
  10. A

    Hivi Hizi ni Kauli za Kiongozi wa Nchi?

    Angalia mazingira aliyotoa kauli hizo, pia tutambue kuwa alikuwa kwenye sherehe za chama pasingekuwa rahisi kusema maneno yasiyoendana na siku yenyewe kwa mtazamo wangu hayo ndo nimeelewa hivyo
  11. A

    Mtu na kaka yake, kosa langu ni lipi hapa?

    Kuna sababu gani kuja kunianika huku hadharani? Na usipojiangalia ntakuharibia kwa dogo
  12. A

    Ukiona dalili hizi jua kuwa kwa 100% Mpenzi wako/ mke wako anakusaliti

    Hongera kuandika uzi lakini hakuna ukweli wowote
  13. A

    Kwa wanaume tu: Kukumbushana

    tambua na magonjwa yapo,suluhisho siyo kuwa nao wengi ila ni kuchagua chaguo sahihi bila kufuata hisia zinataka nini kwa wakati huo unapojisikia kuwa na mahusiano na mwanamke
  14. A

    Makosa makubwa matatu yanayofanywa na serikali ya Dr. Joseph Pombe Magufuli

    umechambua vzr lkn ungeweka na mazuri yanayofanywa na serikali ili tuweze kujua mzani unaelemea upande upi kati ya mazuri na mabaya
Back
Top Bottom