Kwa wanaume tu: Kukumbushana

Kwa wanaume tu: Kukumbushana

Mkuu umefikiria gharama za kuendesha hizo relationships?, nguvu na muda. Huu wako si ushauri mzuri hata kidogo. Mimi naona wanaume wote tunafaa na wanawake wote wanafaa ila tatizo linakuja kwenye uchaguzi. Ukichagua ambaye hamuendani kweli utalia kama punda.
 
This is just a reminder.

Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.

Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.

Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.

Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.

Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.

Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.


Mwingine huyu mhanga wa kupigwa chini na Mwanamke sasa anajifariji, kubali tu na endelea na maisha!
 
tambua na magonjwa yapo,suluhisho siyo kuwa nao wengi ila ni kuchagua chaguo sahihi bila kufuata hisia zinataka nini kwa wakati huo unapojisikia kuwa na mahusiano na mwanamke
 
Duh huo ushauri hapana kwa dunia ya sasa. Cha msingi ni kutakuwa na mahaba niue mwanaume inabidi utumie MOYO na AKILI katika mapenzi
 
Sasa mbna chain iliyko ndo naikata..nibakize piece moja pekee, na cna mpango wa kuunga tena...!!!
 
Kwenye threads kama hizi unapata kuona jinsi wanaume fulani hawajiamini. Wamejaa woga. Wanatafuta njia za ajabu ajabu kupata confidence. Wa kudhraulika.
 
This is just a reminder.

Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.

Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.

Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.

Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.

Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.

Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.
Mkuu wewe unao wangapi? Wanafika kumi?
 
usichanganye mke,demu, girlfrnd na mchumba.
hivi vitu havifanani
 
Hapana mmoja atosha ukifanya tathmini mkoloni yako ya zamani uliyoyapa uhuru au mengine kwa kibri yamejitangazia uhuru vikianza viboko mara huyu mdogo wake ana harusi yule kaka yake anatakiwa aende India so mchango wako unatakiwa achilia mbali viboom vya voucher na lunch uuuuh hapana bora mmoja.
Niulize mimi gharama ya kumiliki wanawake wengi, i am not recommending this to any one, nakumbuka kuna kipindi nilikua nao actively 9 walitaka kuniua,nilijikuta naishi kwa madeni hadi nikataka kuchanganyikiwa ukiachilia mbali wa one and two night stands mshahara ulikua unaisha kabla hata haujatoka.

Najua for a man ni fahari kumiliki wanawake wengi, hii ni kawaida kwa male gender yoyote iwe ya kuku, mbuzi au simba ila ukiwa nao wengi wasizidi 3.

Kua nao 9 kma mimi hawa wa digitali, hutu anataka note 4, huyu anataka shoping mliman city,huyu anataka wkend umtoe mkaogelee kiwanja kikali,huyu kaka yake anaumwa,huyu anataka umpangie chumba ahame kwao, huyu anataka kile.

Wanawake wengi ni kujitakia umasikini ingawa sishauri kua na mmoja.
 
Niulize mimi gharama ya kumiliki wanawake wengi, i am not recommending this to any one, nakumbuka kuna kipindi nilikua nao actively 9 walitaka kuniua,nilijikuta naishi kwa madeni hadi nikataka kuchanganyikiwa ukiachilia mbali wa one and two night stands mshahara ulikua unaisha kabla hata haujatoka.

Najua for a man ni fahari kumiliki wanawake wengi, hii ni kawaida kwa male gender yoyote iwe ya kuku, mbuzi au simba ila ukiwa nao wengi wasizidi 3.

Kua nao 9 kma mimi hawa wa digitali, hutu anataka note 4, huyu anataka shoping mliman city,huyu anataka wkend umtoe mkaogelee kiwanja kikali,huyu kaka yake anaumwa,huyu anataka umpangie chumba ahame kwao, huyu anataka kile.

Wanawake wengi ni kujitakia umasikini ingawa sishauri kua na mmoja.
Hitimisho ulichomokaje au bado hujawapa uhuru makoloni yake au yana mamlaka ya ndani kama Palestine?
 
Hitimisho ulichomokaje au bado hujawapa uhuru makoloni yake au yana mamlaka ya ndani kama Palestine?
Wapo kama palestine, wana mamlaka ya ndani ila nikitaka kkuwaingilia kijeshi sina kipingamizi.
Usimuache mwanamke,mpe likizo au uhuru wa kufanya mambo yake,siku ukiishiwa kabisa unakumbushia unapewa mechi za kirafiki za hapa na pale.
 
Wapo kama palestine, wana mamlaka ya ndani ila nikitaka kkuwaingilia kijeshi sina kipingamizi.
Usimuache mwanamke,mpe likizo au uhuru wa kufanya mambo yake,siku ukiishiwa kabisa unakumbushia unapewa mechi za kirafiki za hapa na pale.
Inaonekana una nyota ya kupasha viporo.
 
Back
Top Bottom