Recent content by 47 Ronin

  1. 47 Ronin

    Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

    Pole boss, wengi wame kushauri vema. Kikubwa usikate tamaa, kila kazi inachangamoto zake. Hasara ya 40mil kwenye madini ni hasara ndogo sana, ni kugusa tu. Inshort bado haujapata hasara ingawa haitakiwi upate hasara. Tafuta wazee ambao ni wenyeji na ulipo, watakupa muongozo wa wapi uende /...
  2. 47 Ronin

    Sheria ya Kikristo inasemaje kwa mtoto wa nje ya ndoa?

    The issues born out of wedlock are innocent creatures. There is a Swahili phraseology "kitanda hakizai haramu' which literally means there are no bastard children. But there are bastard parents. The child is not culpable for its parents' shortComings nor can he or choose the situation they are...
  3. 47 Ronin

    Uvumivu, utulivu na busara za Rais Samia kuliweka Taifa salama

    Kwa miaka hii michache ambayo Rais Samia amekaa madarakani ame prove kuwa yeye ni mmoja wa marais bora kuwai kutokea duniani. Rais Samia amefanikiwa kwa muda mchache sana kuturejeshea furaha, tabasamu na uhuru wa Tanzania ingawa anapambana na vita kali sana ya kiuchumi na kiungozi kutoka kwa...
  4. 47 Ronin

    Viongozi wa CHADEMA na maslahi binafsi kwenye suala la Mkataba wa Bandari

    Wazee washauri wa CHADEMA mpo?mmejificha wapi? Jitokezeni muwashauri hawa viongozi, ni wazi wameamua kutumia suala la bandari kama kichaka chao cha kupiga fedha za chama. Kwanini? 1. Kwa makusudi wameamua kutumia nguvu isiyo sahihi kuikosoa serikali iliopo madarakani. 2. Gharama wanazozitumia...
  5. 47 Ronin

    Jua kazi inayokufaa kulingana na tarehe yako ya kuzaliwa

    Kuna ukweli mkubwa sana hapa. MziziMkavu umetisha sana. Nakisomo changu lakini napenda kufanya kazi isio hitaji kisomo sana kumbe kuna sababu zàke.
  6. 47 Ronin

    Mke wa mtu kadata na penzi langu

    Asante kwa story yako... Endelea kutafuta sifa na kujisifia upuuzi hivi hivi kwenye mitandao mpaka utakapo kuwa ndio uwache. Pia ukienda shule usisahau kuwa adithia na wenzako hii stori.
  7. 47 Ronin

    Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

    Huja itendea haki mzumbe. Mpaka sasa inaonesha una vyeti ila knowledge huna. Tujulishe na jinsi ulivyo ipata degree yako maana vyuoni lecturers wanasifika kwa kupenda ngono in return of good course work.
  8. 47 Ronin

    Naomben ushauri

    Movie yako nzuri ila inaonesha starring ajui wajibu wake.
  9. 47 Ronin

    Wadada:- Kuna uhusiano mkubwa kati ya chupi zenu na tabia zenu.

    Chupi aina ya kandambili...?? hakika leo ume dhamilia kutuchekesha.
  10. 47 Ronin

    Mhitimu niliepoteza dira

    Kuhitimu chuo sio tatizo. Je ume hitimu na GPA yangapi ?. Unayo knowledge ya law kichwani. unauwezo waku figure out issues and apply law in any litigation. Fanya kazi ya kujitolea sehemu yoyote ile kwanza wapime uwezo wako pia upate experience. law ni experience na knowledge.
  11. 47 Ronin

    Open Govt Survey report: Serikali ya Kikwete/Tanzania haitaki uwazi!

    Kwa serikali hii iliyopo inayo jua kuimba wimbo wa utawala bora ila vitendo vyake tofauti na utawala bora sio kitu cha ajabu kwao Rais kukutana na jambo kama hilo. Watawala wetu wanajitumikia wao wenyewe binafsi baadala ya kutumikia wana nchi ndio maana habari za ufisadi au uhujumu uchumi hazi...
  12. 47 Ronin

    Bosi, Mdomo wako unanukaaa!

    Nizamu kitu cha muhimu sana. usimseme ovyo boss wako. Tumia busara kumuambia ukweli kama anatatizo ajirekebishe au tumia nafasi yako kumsaidia aepukane na hilo tatizo.
Back
Top Bottom