Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 473
- 508
Weee kiboko!
pamoja na usahihi wa majibu yako lakini chuo kinachangia sana, ni aibu kwa mhadhiri kutahini na kufanya mtihani mwenyewe badala ya mwanafunzi, ndiyo maana magraduate wengi wa mzumbe ni majanga huku maofini! afisa rasilimali watu unamwuliza kwanini nina sifa za kupandishwa daraja na sijapandisha angali mwenzangu mwenye sifa sawa na mimi kapandishwa? anajibu kirahisi na kiupumbavu kila mtu na bahati yake, huwezi kuamini hawa ndiyo mafisa utumishi wetu wa mzumbe
Yote kwa yote tatizo ni mwanafunzi,ukisoma alichoandika utagunduA tu kuwa alishajiandaa kupata cheap Msc.Badala ya kuchimbua ili awe hodari kapata Masters Degree ambayo ni ZERO! Kwa wengine ambao tumesomea Engineering unastrive kwenye miradi mikubwa na yenye changamoto kubwa ili baadae uweze kusimama mbele ya jamii na Engineering Community kutoa majibu, kutokana na past experience ya mambo ambayo yalishawahi kuwapa/kukupa changamoto, ila in a long run, ufumbuzi unapatikana. Haya yanawezekana tu kama mtu uko na nia Thabiti ya kujifunza, kupekua n.k. Sasa kupata chet tu haitoshi, je una jambo au mambo mapya uliyoongeza kutoka undergraduate to postgraduate! Mi nadhani ule mfumo wa zamani wa kuhakiki elimu ambao ulikuwa mahsusi kwa watu wanaorudi na degree kutoka nje ya nchi uanze hata kwa degree za ndani. Wakati ule ile iliyokuwa inaitwa Higher Education Accreditation Council ambayo kwa sasa imekuwa ni TCU na NACTE, ndo ilikuwa kazi zake! I hope hadi sasa TCU/NACTE wanafanya kwa wale waliotoka na elimu za nje! Hata hivyo kwa Engineers, ERB huhakiki Wahandisi wageni na wakijiridhisha hupewa Temporary Registered Professional Engineer! Kwa kumalizia, siamin kama kweli ile IDM Mzumbe ambayo imetoa wasomi na viongozi bora hapo mwanzo, eti sasa baada ya kuwa University ndo imedorora, tatizo ni baadhi ya Watanzania kupenda mteremko!
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.
pamoja na usahihi wa majibu yako lakini chuo kinachangia sana, ni aibu kwa mhadhiri kutahini na kufanya mtihani mwenyewe badala ya mwanafunzi, ndiyo maana magraduate wengi wa mzumbe ni majanga huku maofini! afisa rasilimali watu unamwuliza kwanini nina sifa za kupandishwa daraja na sijapandisha angali mwenzangu mwenye sifa sawa na mimi kapandishwa? anajibu kirahisi na kiupumbavu kila mtu na bahati yake, huwezi kuamini hawa ndiyo mafisa utumishi wetu wa mzumbe
take my like mkuu,
huyu jamaa wa mzumbe kafunga mwaka kwelikweli,yeye na supervisor wake wote mahodar,,,,,daaah,,,,,
supervisor anakuandikia dissertation???????hii sijapata sikia wala ona,,,,,halaf ni Prof?????jaman jaman jamani mweeeee.
So MBA ya MZUMBE IMETOKA KUWA MAHARAGE YA MBEYA,,,,TO WHAT????
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.