Mhitimu niliepoteza dira

Mhitimu niliepoteza dira

Kuhitimu chuo sio tatizo. Je ume hitimu na GPA yangapi ?.
Unayo knowledge ya law kichwani.
unauwezo waku figure out issues and apply law in any litigation.

Fanya kazi ya kujitolea sehemu yoyote ile kwanza wapime uwezo wako pia upate experience.
law ni experience na knowledge.
 
...Mkuu mimi pia ni mhitimu wa shahada ya sheria, june mwaka jana, kulingana na hii profession mi nikushauri tu jitahidi uende kwa Law School upige tu hiyo miezi 6 au 7, nafikiri hapo utapata idea ya uanzie wapi au ufanye nn, trust me.
 
Back
Top Bottom