47 Ronin
Senior Member
- Jul 29, 2012
- 147
- 42
Kuhitimu chuo sio tatizo. Je ume hitimu na GPA yangapi ?.
Unayo knowledge ya law kichwani.
unauwezo waku figure out issues and apply law in any litigation.
Fanya kazi ya kujitolea sehemu yoyote ile kwanza wapime uwezo wako pia upate experience.
law ni experience na knowledge.
Unayo knowledge ya law kichwani.
unauwezo waku figure out issues and apply law in any litigation.
Fanya kazi ya kujitolea sehemu yoyote ile kwanza wapime uwezo wako pia upate experience.
law ni experience na knowledge.