Mimi pia ningependa jibu la hoja yako.
Nini faida ya Air cooler ukilinganisha na mist fan?
Tofauti ya kiwango cha ubaridi ikoje kati ya vitu hivyo viwili?
Kama kuna watu wana uzoefu navyo watusaidie kwa ushuhuda na ushauri.
Mitazamo ya kidini ya akina Mzee Mtei na William Mushumbusi zinasikitisha sana. Hata kama Mtei si kiongozi wa CDM bado ana kofia ya uasisi na anawakilisha identity ya CDM.
Nautazama upya uungaji mkono wangu kwa Chadema. Huenda nikatengua msimamo wangu wa ki-People's Power. Aidha sitaiunga mkono...
Haule, karibu JamiiForums.
Leo hii nimekereka sana na suala la udini. Mimi ni Mkatoliki lakini siko tayari hata kwa kuning'inizwa kumtazama Dr Salim kama Mwislam. Dr Salim si Mwislam, si Mzanzibari, si Mwarabu, si Mwanaume. Dr Salim ni Dr Salim. Dr Salim ana-occupy special position katika nchi...
Kama ni kweli Mzee Mtei aliongea kauli hiya ya idadi ya Waislam basi amepotoka kweli!!! Hivi Dr Salim ana idenity ngapi?
Sasa tuanze kuzungumzia pia idadi ya Wanawake.
Mimi si mwanachama wa Chadema wala chama kingine chochote cha siasa. Lakini naegemea upande wa Chadema. Mzee Mtei hata kama si...
Yericko Nyerere na wenzako ni masanamu ya Michelini.. nguo ikishonwa begani inachanika ubavuni. Yaani Dr Salim kwa sifa zote za kiuongozi na utumishi uliotukukuka kwa nchi ya Tanzania leo hii mnaanza kumtazama kwa jicho la Uislam.. kabisa jamani? Kabisa jamani? This is SHIT!! (In capital...
Ila itachukua muda kwa politics kuacha interference katika mambo ya msingi. Maybe something has to be done. Honestly, katika sinema nazofikiria kuandaa nitakuwa nachomeka vijembe kwa watu wa politics. Kuna filamu naifikiria, nitakutaarifu.
Mimi ni Pro-CDM lakini sikubaliani na kauli za Lema.
Wadau wa sheria wanasema kosa alilotiwa hatiani Lema ni "Illegal Campain" ambalo kifungu husika ni 108 na si 114 (Illegal Practice) aliyosema Jaji.
CCM si bata tu bali Mabata yenye roho mbaya, mbona kesi za rushwa zinapigwa danadana? Soma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.