Chocolate
Senior Member
- Feb 5, 2009
- 117
- 48
Zina 'kitu' mkuu, jirani yangu anazo mbili na mara kwa mara vitoto vyake vinapelekwa hospitali kwasababu ya kuugua pneumonia!
Wataalamu wanasema ukitumia hizo feni uweke pia na dehumudifier ili kufyonza ule mvuke wa majimaji bila hivyo pneumonia itakuhusu sana