Wazanzibari wataka ajira kwa Watanganyika huko Visiwani ikomeshwe; wagonga mwamba!

Mimi nachukia sana "matusi". Kwa nini watu tulimchukia Lusinde wakati sisi wenyewe tunakazana kufanana naye?

Mimi sitaki kuzungumzia kabisa Muungano wala Wazanzibar bali nataka kuzungumzia kwa nini wazanzibar wanatumiwa na wanasiasa uchwara kwa maslahi yao. Kwanza kutokana na udongo wa eneo la Zanzibar ni rahisi kufanya siasa za kuhamasishana kuchukia au kupenda kitu fulani. Sote tunakumbuka kwamba si wakati wa Mzee Karume,Mzee Mwinyi, Mzee Jumbe, Mzee Abdulwakil (R.I.P) ambako kulikuwa na huu ubaguzi uliokithiri namna hii.

Salimin Amour alipoingia madarakani Zanzibar na muda wake ulipokaribia kuisha. ndipo hizi habari za ubaguzi namna hii zilipoanza kusikika. Wakati huo ndipo shriki za "mafuta" ya Zanzibar kuweza kuigeuza kuwa Dubai ya Afrika Mashariki ilipoanza. Matatizo ya Zanzibar si Muungano wa Watanganyika bali ni wanasiasa wao wanaofikiri bila kuitaja Bara wao hawana hoja za kujihalalisha kwa wazanzibar wenzao.

Hili la Jusa linatokana na ukweli kuhusu Urais wa mwaka 2015 ambapo kutokana na hali halisi ilivyo atatoka Bara... Lakini si tu Rais ajaye atatoka Bara lakini pia atatoka chama kingine (kinaweza kuwa CHADEMA) mbali ya CCM au CUF. Na kwa kulijua hilo wao wameanza kujilinda kabla ya kutokea la kutokea.

kwa hiyo Jussa anaiogopa chadema?

Kwani chadema wana ajenda gani mbaya na Zanzibar? tufahamishe mkuu..
 
hawa wazenji waachiwe nchi yao kama wanaona dili,kwa jinsi kasi ya mawasiliano inavyokwenda, siku hizi badala ya kusema unaishi Tanzania, tutakuwa tunasema naishi Duniani,unatakiwa uwe fit kukabiliana na yeyote kutoka nchi yeyote,tuache uwoga,tusome na kujielimisha kwa bidii zote.
 
Jussa punguza ubaguzi kama wa zanzibar mnataka kujitenga subirini katiba mpya wala msije na visingizio kila kukicha...

Tumechoka mara na nyie mnataka mue na bodi ya mikopo ili wa zanzibari wapewe 100%
.mara wa bara hawatakiwi ajiliwa zanzibar...huo ni upungufu wa akili mkubwa sana.

Jussa u
naboa sana, mbona wizara ya fedha wamejaa waZanzibar na wa bara kibao wenye uwezo wa kufanya kazi wizara ya fedha wapo na tumetulia kama hatujui kinachoendelea.
 
.

“Ignorance and prejudice are the handmaidens of propaganda. Our mission, therefore, is to confront ignorance with knowledge, bigotry with tolerance, and isolation with the outstretched hand of generosity. Racism can, will, and must be defeated.” ― Kofi Annan

.

Watu kaa huyu juha "Jusa" na wenzake eti wawakilishi ni ma selfish na wanatumia exposure ndogo ya wanzanzibar wengi kuwa-sway waamini Bara inawanyonya, ili hali wao wanatuntonya na wala hatuwahitaji.

Angekuwepo Mwalimu, Huyu kichaa angesha pata dawa take mana ni hatari - hizo ndo -ve extenalities za demokrasia katika nchi Changa.
 
mimi naona sasa ifikie wakati tukubari kutengana na zenj maana sioni kama sisi ni nchi moja.
Itakuwaje nchi moja kama mimi siruhusiwa kufanya kazi flani zenj? Huo ubaguzi tayari.
Jamani tuwaache nasi tujari bara yetu
 
"JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA"huu ni msemo uliotawala huko zenj kipindi hichi tunachoelekea kuandika KATIBA MPYA.
Sijajua kwa sie watanganyika tunamsemo upi?kuelekea uandikaji wa KATIBA MPYA.
Hatupaswi kumlaumu MH.JUSSA na kumbebesha dhabi ya ubaguz lkn tunatakiwa tujue JUSSA anasimamia kile wazanzibar wanachokitakaaa.
 
"JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA"huu ni msemo uliotawala huko zenj kipindi hichi tunachoelekea kuandika KATIBA MPYA.
Sijajua kwa sie watanganyika tunamsemo upi?kuelekea uandikaji wa KATIBA MPYA.
Hatupaswi kumlaumu MH.JUSSA na kumbebesha dhabi ya ubaguz lkn tunatakiwa tujue JUSSA anasimamia kile wazanzibar wanachokitakaaa.

tutumie YA Lusinde
'KUDADADEKI'
 
Hivi watanganyika mnawabembeleza nini hawa wazanzibar?
Ufike wakati sasa tuwarudishe watu wetu na wao tuwatimue bongo.
Tumewachoka. Ufike wakati tuwe na msimamo mkali.
Shame on you jussa
 
Huyu Jussa na wengine kama yeye, wawe wanatoka CUF au CCM, wanaishi ndani ya nyumba ya vigae halafu wanailembea mawe. Kabla ya kutoa mawazo taka kama haya, wangefikiria kwanza kuwa vijana wa TZBara wanafanyakazi Zanzibar, ukiwachia mbali sababu za kuwa ni haki yao, bado ZNZ hawajajiandaa kutumika katika sekta ya utalii.

Nina bahati ya kulewa kinachoendelea katika sekta utalii hasa mahotelini. Wawekezaji huwa wanaajriwi watu kutokana na elimu na uzoefu wao na wala sio wapi wanatoka. Wengi wanaoajiriwa kutoka ZNZ ni katika vitengo vya huduma za chini hasa usafishaji kwa sababu ama hawakusomea au hawana ujuzi wa kutosha. Kwa ufupi, wengi wao hawaajiriki. Jussa na Mahuja wenzake kwanza wangehakikisha wanawaandaa vijana wao kiasi cha kuhimili ushindani kabla ya kusema tu wasiajiriwe. Hata wakifanikiwa kulipitisha hilo kwa ujuha wao, wawekezaji watachukua waajiriwa kutoka popote pale isipokuwa ZNZ kwani hawajaandaliwa.

Ushauri wa bure kwa Jussa - Ukitaka kutema mate, usielekeze uso juu.
 
Hivi watanganyika mnawabembeleza nini hawa wazanzibar?
Ufike wakati sasa tuwarudishe watu wetu na wao tuwatimue bongo.
Tumewachoka. Ufike wakati tuwe na msimamo mkali.
Shame on you jussa

wewe walau umesema kweli kwa kutumia Watanganyika .Tatizo la hii katiba ni kuwa ni ya nchi mbili Tanganyika na Zanzibar , lakini bahati mbaya au nzuri Tanganyika imetiwa mkobani . Unataka Jussa aongee na nani ? wakati Tanganyika haipo???
 
Munapotazama hili musimuangalie Jussa tu lakini tazameni pia na Wazanzibari zaidi ya 95% ambao wanatamka na kuchapisha maslogan ya JAMHURI YA ZANZIBAR KWANZA, ZANZIBAR BILA YA MUUNGANO INAWEZEKANA NK. Kumbukeni nao wote ni Majussa! Kwa sasa Zanzibar hakuna Jussa mmoja bali wote wamekua Majussa hakuna tena CCM wala CUF!
 
Munapotazama hili musimuangalie Jussa tu lakini tazameni pia na Wazanzibari zaidi ya 95% ambao wanatamka na kuchapisha maslogan ya JAMHURI YA ZANZIBAR KWANZA, ZANZIBAR BILA YA MUUNGANO INAWEZEKANA NK. Kumbukeni nao wote ni Majussa! Kwa sasa Zanzibar hakuna Jussa mmoja bali wote wamekua Majussa hakuna tena CCM wala CUF!

Ni vizuri wakawagawia hayo maslogan wanzanzibari walioko huku Bara ili waunganishe nguvu.
 
jaman huyu ni mtu mmoja hawezi kutuumiza vichwa,huku T.bara namfananisha na lusinde tu...hanaga points za kushawishi umma,huo ndo uwezo wake wa kufikiri katika kuleta maendeleo hapa tanzania
 
Back
Top Bottom