Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Tume ya Katiba Mpya, yenye Mapungufu Makubwa, yasiyoonekana Makubwa, lakini yenye Kuhatarisha Umoja*wetu:
Mnamo tarehe 6/4/2012, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Jakaya M. Kikwe alifanya uteuzi wa tume ya katiba mpya.
Orodha ya wajumbe hao nini:
UONGOZI WA JUU
1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA Mwenyekiti
2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI Makamu Mwenyekiti
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO
5. Nd. John J. NKOLO
6. Alhaj Said EL MAAMRY
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI
9. Nd. Humphrey POLEPOLE
10. Nd. Yahya MSULWA
11. Nd. Esther P. MKWIZU
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE
15. Nd. Joseph BUTIKU
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM
2. Nd. Fatma Said ALI
3. Nd. Omar Sheha MUSSA
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD
5. Nd. Awadh Ali SAID
6. Nd. Ussi Khamis HAJI
7. Nd. Salma MAOULIDI
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED
9. Nd. Simai Mohamed SAID
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN
12. Nd. Suleiman Omar ALI
13. Nd. Salama Kombo AHMED
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH
UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID Katibu
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI Naibu
Nimpongeze*Mh Rais kwa kufanya uteuzi huu, lakini niitazame ktk jicho la tatu tume hii.
Hii ni nchi ya Tanzania yenye kila aina ya changamoto za ndani na nje, yenye watu weledi na wasio weledi na yenye watu walio na imani zao zisizofungamana na dola.
Binafsi naamini uteuzi wa tume hii umezingatia vigezo alivyokuwa navyo Mh Rais, na ameridhishwa kuwa hiyo ndiyo tume shahiki, nimponge tena na tena.
Ningepewa mimi jukumu la kuiteua tumi hiyo, nami ningeweka vigezo vyangu, vigezo hivyo naamini vingepunguza kama si kuondoa kabisa mtazamo hasi wa wananchi juu ya tume hii.
Mimi ningezingatia mambo matatu muhimu juu ya wa*upataji*tume hii.
Weledi wa wajumbe
Uwiano sawia wa kiimani nikitumia jiografia halisi ya nchi
Muungano
Nikiiangalia tume tajwa hapo juu, ni tume halisi iliyoteuliwa kwa kufuata mizania ya weledi. Ukiipinga tume hii kwa egemeo la weledi hulitakii mema taifa letu linalotaraji kuzaliwa upya.
Ninasikitika sana uteuzi wa tume hii haujazingatia usawa wa kiimani, hii ni hatari zaidi kuliko hatari waionayo wanasiasa juu ya mageuzi kwao. Watafiti wa kiimani wanaamini kuwa 99.9% binadamu hutawaliwa na imani yake, hilo hata raisi anatambua umuhimu wa imani.
Kwakutumia majina yaliyo kwenye orodha ninabainisha mapungufu makubwa ya uteuzi wa tume hii, ama yamefanywa kwa makosa ama yamefanywa makusudi, lakini niseme kuwa yameweka reheni imani ya mtanzania juu ya weledi wa tume kwa ujumla.
Tume inawajumbe 30, lakini kwa kutumia jiografia halisi ya Tanzania natambua kwa majina, kuwa tume hii ina waislamu 21 na wakristu 9, *hili halihitaji utetezi zaidi ya busara za mteuaji (rais)
Nikiangalia kwa mizania ya kiumungano, sijaona mantiki ya uwakilishi sawa wa wajumbe 15 Zanziber na 15 Bara (Tanganyika mufu)* Tz Bara ina watu milioni 42 na Zanziber ina watu miloni 2. Naamini kabisa kigezo kilichotumika ni kile kile cha miaka yote kisicho na manufaa kwa Wazanziber na Watanganyika cha kulinda muungano tata.
Haiingii akilini mimi niwe na hisa 90% kisha tuwe na gawio sawa na wa hisa 10%. Hii ni dharau kwa wa Tanganyika na Wazanziber, tukae chini tukubaliane aina mpya ya muungano sio hii ya kulazimishana.
Ninamshauri Mh raisi atumiea mamlaka tuliyompa* kuondoa mitazamo hasi juu ya tume hii kwa UDINI anaoupinga kila leo ndio huo alioutenda ndani ya tume hii. Natambua nguvu ya hisia za kidini na mh rais kwa tume hii itaamsha hisia zilizo lala na kuleta mtafaruku utakao haribu dhana nzima ya kupata katiba mpya.
Nimpongeze sana Mzee Mtei kwa kuliona hilo na kulisema mapema japo WADINI wameinuka na kumpinga bila tafakuri ya kina.
Ili kuona zaidi tembelea www.yerickonyerere.wordpress.c om
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRIKA
(Katiba ni uhai wa taifa huru)
Mnamo tarehe 6/4/2012, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Jakaya M. Kikwe alifanya uteuzi wa tume ya katiba mpya.
Orodha ya wajumbe hao nini:
UONGOZI WA JUU
1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA Mwenyekiti
2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI Makamu Mwenyekiti
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO
5. Nd. John J. NKOLO
6. Alhaj Said EL MAAMRY
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI
9. Nd. Humphrey POLEPOLE
10. Nd. Yahya MSULWA
11. Nd. Esther P. MKWIZU
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE
15. Nd. Joseph BUTIKU
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM
2. Nd. Fatma Said ALI
3. Nd. Omar Sheha MUSSA
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD
5. Nd. Awadh Ali SAID
6. Nd. Ussi Khamis HAJI
7. Nd. Salma MAOULIDI
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED
9. Nd. Simai Mohamed SAID
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN
12. Nd. Suleiman Omar ALI
13. Nd. Salama Kombo AHMED
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH
UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID Katibu
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI Naibu
Nimpongeze*Mh Rais kwa kufanya uteuzi huu, lakini niitazame ktk jicho la tatu tume hii.
Hii ni nchi ya Tanzania yenye kila aina ya changamoto za ndani na nje, yenye watu weledi na wasio weledi na yenye watu walio na imani zao zisizofungamana na dola.
Binafsi naamini uteuzi wa tume hii umezingatia vigezo alivyokuwa navyo Mh Rais, na ameridhishwa kuwa hiyo ndiyo tume shahiki, nimponge tena na tena.
Ningepewa mimi jukumu la kuiteua tumi hiyo, nami ningeweka vigezo vyangu, vigezo hivyo naamini vingepunguza kama si kuondoa kabisa mtazamo hasi wa wananchi juu ya tume hii.
Mimi ningezingatia mambo matatu muhimu juu ya wa*upataji*tume hii.
Weledi wa wajumbe
Uwiano sawia wa kiimani nikitumia jiografia halisi ya nchi
Muungano
Nikiiangalia tume tajwa hapo juu, ni tume halisi iliyoteuliwa kwa kufuata mizania ya weledi. Ukiipinga tume hii kwa egemeo la weledi hulitakii mema taifa letu linalotaraji kuzaliwa upya.
Ninasikitika sana uteuzi wa tume hii haujazingatia usawa wa kiimani, hii ni hatari zaidi kuliko hatari waionayo wanasiasa juu ya mageuzi kwao. Watafiti wa kiimani wanaamini kuwa 99.9% binadamu hutawaliwa na imani yake, hilo hata raisi anatambua umuhimu wa imani.
Kwakutumia majina yaliyo kwenye orodha ninabainisha mapungufu makubwa ya uteuzi wa tume hii, ama yamefanywa kwa makosa ama yamefanywa makusudi, lakini niseme kuwa yameweka reheni imani ya mtanzania juu ya weledi wa tume kwa ujumla.
Tume inawajumbe 30, lakini kwa kutumia jiografia halisi ya Tanzania natambua kwa majina, kuwa tume hii ina waislamu 21 na wakristu 9, *hili halihitaji utetezi zaidi ya busara za mteuaji (rais)
Nikiangalia kwa mizania ya kiumungano, sijaona mantiki ya uwakilishi sawa wa wajumbe 15 Zanziber na 15 Bara (Tanganyika mufu)* Tz Bara ina watu milioni 42 na Zanziber ina watu miloni 2. Naamini kabisa kigezo kilichotumika ni kile kile cha miaka yote kisicho na manufaa kwa Wazanziber na Watanganyika cha kulinda muungano tata.
Haiingii akilini mimi niwe na hisa 90% kisha tuwe na gawio sawa na wa hisa 10%. Hii ni dharau kwa wa Tanganyika na Wazanziber, tukae chini tukubaliane aina mpya ya muungano sio hii ya kulazimishana.
Ninamshauri Mh raisi atumiea mamlaka tuliyompa* kuondoa mitazamo hasi juu ya tume hii kwa UDINI anaoupinga kila leo ndio huo alioutenda ndani ya tume hii. Natambua nguvu ya hisia za kidini na mh rais kwa tume hii itaamsha hisia zilizo lala na kuleta mtafaruku utakao haribu dhana nzima ya kupata katiba mpya.
Nimpongeze sana Mzee Mtei kwa kuliona hilo na kulisema mapema japo WADINI wameinuka na kumpinga bila tafakuri ya kina.
Ili kuona zaidi tembelea www.yerickonyerere.wordpress.c om
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRIKA
(Katiba ni uhai wa taifa huru)