Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,629
- Thread starter
- #101
enyi wazanzibar ukija msaada kutoka nje ukiwa titled kwa jamhuri ya muungano na nyie mnapewa chenu, ukuja msaad kwa serikali ya mapinduzi sisi wabara hatuna chetu, kwenye bajeti ya serikali ya jamhuri na nyie mumo ya kwenu sisi hatumo, badi kwenye tume ya katiba mna wajumbe sawa na sisi sasa mnataka mpewe nini?