Recent content by 1mapesa2

  1. 1mapesa2

    FUNZO: Hata Magesa Mulongo alipata kuwa Mkuu wa Mkoa

    Unamtetea. Stanislaus Mzee wa kumeza furu, anapokula huwa hatafuni. Vipi Hoja ya kulambwa na Liz. Unaikubali? Huyo bashite wa mwiruruma kibara.
  2. 1mapesa2

    Chatu katoa maajabu

    Mwongo.
  3. 1mapesa2

    FUNZO: Hata Magesa Mulongo alipata kuwa Mkuu wa Mkoa

    Huyu bwana ni alizungusha f4 kule MUSOMA sec 1989. Hovyo kabisa. Alianza kuuza na kulambwa mkunduni maeneo ya fukwe za Dar wakati akiwa kibarua wa TTCL. Ndipo alipo kutana na Liz, K. akawa anamsafishia na kumvalisha viatu Liz kama rafiki yake, ndipo alipo mambolisha kwa baba yake na kumpa UDC...
  4. 1mapesa2

    Tuulizane maswali kuhusu kuchepuka!

    Kukaa na mke mmoja kama mama ni kosa na huyatendei Haki maumbile yako. Kibiologia kazi ya mwanaume ni kupandikiza Mbegu kwa mwanamke, ndiyo maana mda wote Mbegu za mwanaume zipo tayari kuoteshwa kwa mwanamke. Anaye miliki hati ya ndoa ni mwanamke siyo mwanaume. Mwanaume msiogope kuwahudumia...
  5. 1mapesa2

    Utafiti: Vibamia husababishwa na sababu kuu mbili.

    Ukiwa na govi unavaaje condom?
  6. 1mapesa2

    Jinsi ya kujizuia usimpende sana mtu

    Kwanza mshughulikie maana huyo siyo Dada yako. Ndipo atakapo pata uhakika kuwa kweli were in mwanaume. Bila kumshughulikia hakuna cha kupendwa. Hata kama una pesa kiasi gani bila kumchomeka no Nazi bure. Kumbuka tu akiwa kwao kila kitu anapata, kasoro penzi la mwanaume. Maana nyumbani kuna...
  7. 1mapesa2

    Mwisho wa Namba ni ngapi?

    Mwanzo wa namba ni 0 na mwisho wa namba ni 9. Namba yoyote utakayoiona ni marudio ya namba za 0,1,2,3,4,5,6,7,8 na 9. Ila zinatofautiana thamani kulingana na idadi ya tarakimu ktk mkusanyiko wa namba hizi.
  8. 1mapesa2

    Nichane Day

    Kweli, Bangi ikikolea kichwani ni shida tu. Hapo ukimuona yuko stimuuuu. denda linadondoka tu. "teja"
  9. 1mapesa2

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kilaza hana nafasi ,wala hahitajiki katika TAIFA letu linaloendeleza sekta ya viwanda vikubwa, vya kati na vidogo.
  10. 1mapesa2

    Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

    Mkuu nakuunga mkona, kuwa hata akina Dr Kayunze, Mr Luta, hawa wawili walikuwa ni wahadhili SUA masuala yaDS. Kulikuwa na baadhi ya wanachuo walio kuwa wanasoma SUA Walikwenda kwa Kagame kupewa madaraka na wengine walienda DRC. Ulimwengu asingeweza kupewa nafasi yoyote kati ya Rwanda au DRC...
  11. 1mapesa2

    Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

    Hoja siyo Uhuru wa maono guru au usomi. Hoja ya msingi ni maono na usomi unaoleta tija kwajami/ Nchi. Ulimwengu ni mvurugaji ndiyo maana baada ya kugundulika kuwa ni hatari kwa TAIFA letu. Alidhibitiwa haraka sana. Lengo lake lilikuwa lina fanana Govajov njinsi alivyo angusha USSR YAzamani...
  12. 1mapesa2

    Hapa sijui niendelee au nigeuze?

    Kama vile milima na mabonde ya Wilaya ya Lushoto.
  13. 1mapesa2

    Kama unafanya tendo kwa kutumia condom ujue huyo mtu hukupaswa kufanya nae

    Huyu mtoa mada huenda anaishi/ anatoka kwenye primitive societies. Anahitaji elimu ya kutosha juu ya usalama wa mwenzi wako.
  14. 1mapesa2

    Mkuu wa Wilaya Njombe amsweka Mwenyekiti wa mtaa ndani masaa 48

    Bado serikali ya kijiji au yeye mwenyewe inayo/anayo mamlaka ya kumfungulia kesi huyu Mkuu aliyeonyesha uonevu dhidi ya kada ya chini. Ni matumizi mabaya ya madaraka. Rejea Mkuu wa Wilaya ya BUKOBA Mhe. Mnari, miaka ya nyuma alipiga walimu walevi, hatua Kali zilichukuliwa dhidi ya DC Yule...
  15. 1mapesa2

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Kolomije iko Misungwi siyo Kwimba. Maelezo yako kuhusu jina 'Kolomije' ni sawa kabisa.
Back
Top Bottom