Mwongo.Katika maeneo ya kongowe kijiji cha kipara mpakani chatu kashindwa kutembea kwa sababu kameza kenge pamoja na kopo la rangi la Lita nne njaa mpaka yoka
we mzee unajielewa kweli?????
Hahahhahahahaahhahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmepakataka tu hakuna lolote, huyo kenge na kopo mbona sivioni.
Kazi kubebana tu.
Namuona huyo jamaa aliyepakatwa 😛😛
Huyu kiumbe ana chekesha sana chatu yuko flat kabisaMbona chatu anaonekana hakuna alichomeza?
Na yule mwanaume aliebebwa jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu kiumbe ana chekesha sana chatu yuko flat kabisa
Wakianza kupondea wanaume wa dar huwezi jua kama na wao wanapakatwaNa yule mwanaume aliebebwa jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
alitaka tuone mpakatano wa vijana wa daslam😀😀Mbona chatu anaonekana hakuna alichomeza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimechekaWakianza kupondea wanaume wa dar huwezi jua kama na wao wanapakatwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ati chatu kameza kopo la rangi la lita nne au me sikuelewa na huyo kenge yuko kama mjusi nini?alitaka tuone mpakatano wa vijana wa daslam😀😀
Huyo aliyepakatwa akigusa tu Ubungo hana Marinda...atafutiliwa mbali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimecheka
Wanaume wa dar wanapakatwa hahhahahaha na chatu kafa kupakatana huko kwa nini sasa
Mamiii, upoHahahhahahahaahhahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah, itabidi ucheke tu mkuu kupunguza maumivu ya sizonje 😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ati chatu kameza kopo la rangi la lita nne au me sikuelewa na huyo kenge yuko kama mjusi nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kunamdau kaandika we mzee unajielewa kweli? Yani nimecheka had machozi
Halafu na mtoa mada akafoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] me ningetafta angle nyingine ya kufotoa maana ningeona aibuHuyo aliyepakatwa akigusa tu Ubungo hana Marinda...atafutiliwa mbali