Kijana wa Kitanzania aliyefahamika kwa jina la Ali Ibraham, alimechomwa kisu na kupoteza maisha tarehe 27th December 2008
Marehemu anayekadiriwa kuwa na kati ya miaka 17 na 25 amekumbwa na...
heshima wakuu..
namtafuta terence mwakaliku,mara ya mwisho kuonana ni 5 years ago
tafadhali mwenye contacts zake anisaidie tafadhali.
shukrani in advance.
Kwenu Tanzania daima:
Ni siku ya sita sasa kila nikifungua mtandao wa Tanzania Daima (Tanzania Daima - Sauti ya Watu) naona una virusi.
Nimejaribu kompyuta tatu tofauti naona tatizo ni hilohilo...
Wana JF,
Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka...
Waungwana,
Kuna mtu yeyote hapa jamvini ambaye anafahamu kukorofisha scramble eggs? Kama yuko naomba darasa. Kuna umuhimu wa kuwa na forum ya mapishi ili akina Mama, Bi Mkubwa, Bi Ntilie...
Ndugu Wanajamii,
kuna Mtanzania mwenzetu mmiliki wa kampuni ya "Mambo Jambo (USA) "amekamatwa Jumapili ya tarehe 18/01 na kufikishwa mahakamani Alhamis ya tarehe 22/01 .Dhamana ya Mwenzetu huyo...
Flash pamojaa na memory card zinauza kwa bei rahisi
xmore memory card ya 1gb inauzwa kwa 25000
toshiba memory card ya 2gb inauzwaa kwa 35000
sony flash disk ya 2gb inaauzwa kwa 33000...
napenda kuwaomba wale wote waliopita Same high school ze desert tuwasiliane wote my idea is to plan for mkutano mkubwa kwa wote waliopita hapo.
no west or east home is the best
+255 787...
Natafuta ratiba ya vipindi ya TBC1. Ratiba ya wiki mzima, kutoka saa 12 asubuhi mpaka saa 6 usiku.
Kwa anayejua hiyo ratiba, tafadhali naomba msaada.
Natanguliza Shukrani~
We've been together since 16th January 2007, it's a year now. You're one of the JF's Premium Members (supporters) and we do appreciate your presence on these forums. And on this 20th Jan, it's...
Kuna tangazo pale chuoni kwamba wanafunzi wa UDSM watapangiwa upya accomodation zao. Mengi zaidi yako hapa:
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
NOTICE TO ALL STUDENTS
Following the decision to require...
Marehemu Mohamed Abddul Shakur a.k.a Captain PAMA
Watanzania Italy wanasikitika kutangaza kifo cha Ndugu MOHAMED ABDUL SHAKUR (PAMA) kilichotokea 5th Jan asubuhi katika hospitali ya SAN GIOVANNI...
Nimefurahi kuona jinsi Marketers wa Zantel anavyojitahidi kutangaza huduma yao ya internet.
Binafsi namshauri aweke tanzazo lake na hapa JF. Watu hawajagundua, kwa mwezi JF inatembelewa na zaidi...
Wanabodi, ninamtafuta Nd. Ngwabi Ngawagilala mara ya mwisho kuonana nae alikuwa ni mkurugenzi wa SHIHATA katika miaka ya mwishoni ya 80. Mwenye kujua naweza kumpata wapi na yupo wapi kwa sasa...
Habari nilizopokea karibuni ni kuwa mtangazaji wa zaidi ya miaka 40 na BBC aliyestaafu miaka michache iliyopita na ambaye ni mzaliwa wa hapa kwetu Zanzibar amefariki dunia akiwa usingizini...
kwa wanajamiiforums wote,
Ninahitaji clips chache za taarifa ya habari inayosomwa kwa kiswahili yaani kutoka katika televisheni za Tanzania. Iwe ya kipindi chochote cha nyuma au hata za hivi...
Ni mara nyingi huwa tunajisahau na kudhani kuwa vita ya kumkomboa mwafrika ilipiganwa (?) na mtu mweusi peke yake. Tunawasahau wakina Ruth First, Joe Slovo, Athol Fugard, Nadine Gordimer na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.