Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kijana wa Kitanzania aliyefahamika kwa jina la Ali Ibraham, alimechomwa kisu na kupoteza maisha tarehe 27th December 2008 Marehemu anayekadiriwa kuwa na kati ya miaka 17 na 25 amekumbwa na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
heshima wakuu.. namtafuta terence mwakaliku,mara ya mwisho kuonana ni 5 years ago tafadhali mwenye contacts zake anisaidie tafadhali. shukrani in advance.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwenu Tanzania daima: Ni siku ya sita sasa kila nikifungua mtandao wa Tanzania Daima (Tanzania Daima - Sauti ya Watu) naona una virusi. Nimejaribu kompyuta tatu tofauti naona tatizo ni hilohilo...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wana JF, Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ingawa linatengenezwa kwa siri lakini kwa hali lilipofikia si siri tena.
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Welcome to East Africans Social Network IF ITS HOT: ITS HERE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana, Kuna mtu yeyote hapa jamvini ambaye anafahamu kukorofisha scramble eggs? Kama yuko naomba darasa. Kuna umuhimu wa kuwa na forum ya mapishi ili akina Mama, Bi Mkubwa, Bi Ntilie...
0 Reactions
56 Replies
13K Views
  • Closed
Ndugu Wanajamii, kuna Mtanzania mwenzetu mmiliki wa kampuni ya "Mambo Jambo (USA) "amekamatwa Jumapili ya tarehe 18/01 na kufikishwa mahakamani Alhamis ya tarehe 22/01 .Dhamana ya Mwenzetu huyo...
0 Reactions
86 Replies
14K Views
Flash pamojaa na memory card zinauza kwa bei rahisi xmore memory card ya 1gb inauzwa kwa 25000 toshiba memory card ya 2gb inauzwaa kwa 35000 sony flash disk ya 2gb inaauzwa kwa 33000...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
napenda kuwaomba wale wote waliopita Same high school ze desert tuwasiliane wote my idea is to plan for mkutano mkubwa kwa wote waliopita hapo. no west or east home is the best +255 787...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta ratiba ya vipindi ya TBC1. Ratiba ya wiki mzima, kutoka saa 12 asubuhi mpaka saa 6 usiku. Kwa anayejua hiyo ratiba, tafadhali naomba msaada. Natanguliza Shukrani~
0 Reactions
4 Replies
17K Views
  • Closed
We've been together since 16th January 2007, it's a year now. You're one of the JF's Premium Members (supporters) and we do appreciate your presence on these forums. And on this 20th Jan, it's...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kuna tangazo pale chuoni kwamba wanafunzi wa UDSM watapangiwa upya accomodation zao. Mengi zaidi yako hapa: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM NOTICE TO ALL STUDENTS Following the decision to require...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
tafadhali kama kuna mtu anayeweza kunisaidia kupata min Div deck .ni duka gani ambalo ninaweza kupata Min Div Deck kwa hapa dar es salaam
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Marehemu Mohamed Abddul Shakur a.k.a Captain PAMA Watanzania Italy wanasikitika kutangaza kifo cha Ndugu MOHAMED ABDUL SHAKUR (PAMA) kilichotokea 5th Jan asubuhi katika hospitali ya SAN GIOVANNI...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nimefurahi kuona jinsi Marketers wa Zantel anavyojitahidi kutangaza huduma yao ya internet. Binafsi namshauri aweke tanzazo lake na hapa JF. Watu hawajagundua, kwa mwezi JF inatembelewa na zaidi...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
  • Closed
Wanabodi, ninamtafuta Nd. Ngwabi Ngawagilala mara ya mwisho kuonana nae alikuwa ni mkurugenzi wa SHIHATA katika miaka ya mwishoni ya 80. Mwenye kujua naweza kumpata wapi na yupo wapi kwa sasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari nilizopokea karibuni ni kuwa mtangazaji wa zaidi ya miaka 40 na BBC aliyestaafu miaka michache iliyopita na ambaye ni mzaliwa wa hapa kwetu Zanzibar amefariki dunia akiwa usingizini...
0 Reactions
31 Replies
14K Views
kwa wanajamiiforums wote, Ninahitaji clips chache za taarifa ya habari inayosomwa kwa kiswahili yaani kutoka katika televisheni za Tanzania. Iwe ya kipindi chochote cha nyuma au hata za hivi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni mara nyingi huwa tunajisahau na kudhani kuwa vita ya kumkomboa mwafrika ilipiganwa (?) na mtu mweusi peke yake. Tunawasahau wakina Ruth First, Joe Slovo, Athol Fugard, Nadine Gordimer na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom