toyota nadia ya mwaka 2000 silver
CC 1980
odo 110,000km
3s engine not d4
options
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / A/C:front / Power Steering / AM/FM Radio /...
Mabomu ya Machozi yaani mabomu ya GAS 2-chlorobenzalmalononitrile yanatengenezwa kutokana na Chemicals ambazo wengi wanaamini hazina madhara makubwa kiafya- Lakini utafiti unasema kuwa huleta...
Kuna habari ambazo bado ninazifuatilia kuwa kuna mtanzania amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake baada ya Polisi kuvunja mlango. Ninajaribu kufuatilia kupata habari kamili.
IMESHAUZWA - ASANTENI WADAU
toyota nadia ya mwaka 2001
CC 2000
odo 100,000km
3s engine na sio D4
ina wiki moja toka iingie kutoka japan.
OPTIONS
Anti-Lock Brakes / Driver...
Ni kweli, ghrama ya pasipoti imepanda kutokana na budget mpya ya june 2009??Formu ya kwanza ilikuwa 10.000tsh na wakati kupata ilibaki kama 40.000tsh. hii ndiyo iliviyo mimi nilijua lakini sasa...
Mauaji ya albino bado yanaendelea
Tangu BBC ilipofichua kwamba waganga wa kienyeji au wa jadi ndio wanaochochea mauaji hayo Julai 21 mwaka jana idadi ya watu waliouawa imeongezeka toka watu 27...
</SPAN>
Stephanie alivyo sasa na sikio lake lililonyofolewa kulia
Friday, September 25, 2009 8:01 AM
Mwanaume mmoja wa nchini Ujerumani mwenye wivu wa ajabu baada ya mpenzi wake kuamua kuvunja...
Nafurahi kuwatangazia kuwa Baloon Cresta, 4 Cylinder iko katika hali nzuri, inatumika kuendea ofisini na kurudi. Inatumiwa na my wife kwa matumizi ya nyumbani tu.
Matairi yote ni mapya.
Bei...
Wakubwa, natafuta sliding windows za ama aluminium au UPVC. Mwenye nazo ani-pm, au nitumie email kwenye mutensa@live.co.uk, nifahamishe
1. Bei kwa square metre
2. Kama una variable colour za...
Dear Colleagues,
You are cordially invited to participate in the inaugural convention of the Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA) to be held in Houston, Texas, USA from October 1st...
Friends....
Incase any body wants to let an office space at Dar city centre...i have an office space ideal for office or related business....location is along Sophia Kawawa street near Nkrumah...
Lori la Mizigo Lapinduka Tanga, 3 Wafariki, 7 Wajeruhiwa
Thursday, September 24, 2009 10:21 AM
WATU watatu wamekufa papo hapo na wengine saba kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mizigo walilokuwa...
Shamba linauzwa, lina ukubwa wa ekari moja. lipo katika kijiji cha kinzudi, unapita tegeta salasala. linafikika kwa bara bara, umeme upo jirani (unahitaji nguzo moja tu).
ni muwafaka kwa ujenzi...
Naomba nichukue fursa hii kuomba msaada kufahamishwa kuhusu ushuru wa kutoa gari bandarini. Je kuna unafuu wowote wa kodi kwa mwanafunzi wa kitanzania aliyekuwa masomoni ng'ambo anapotaka kuingiza...
SORRY! PRODUCTS SOLD OUT!!!!
YOU CAN PLACE YOUR ORDER IN ADVANCE FOR THE NEXT DELIVERY !!
PLEASE ALLOW TWO TO THREE WEEKS FOR THE COMMING DELIVERY.!!
FOR ALL YOUR ENQUIRIES CONTACT 0713846454...
TOYOTA HIACE 1992. bei 6.9m open to bargain.
Engine 2L diesel.
Imesajiliwa Dar na ina route Number.
Ipo kwenye hali nzuri sana-ex school min-bus.
BEI ni 6,900,000 Inapungua kidogo.
Piga simu...
ndugu wadau, ninahitaji projector ya kkutumia kwenye chumba cha wastani-watu mia moja, matumizi angalau masaa nane kwa siku. nahitaji maelezo ya kina kuhusu aina na ubora wa projector...pia bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.