Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Wadau wenzangu Poleni na majukumu mlionayo, Mimi nimeona nilete kwenu ndugu zangu muweze kunijulisha maana nimeamua hili liwehapa nipate msaada na ushauri mzuri . Nimejikwamua nimenunua Ka gari kangu ka Suzuki Escudo Nomade sasa nimekitoa jana Bandari nataka kufanyia services na sijui sehemu nzuri ya kufanyia hiyo services kwa gari mpya. Nikisema niende Kariakoo hapo ndo nimeliwa sasa naomba kama kuna Mdau wa JF ambaye anajua vyema sehemu hiyo na pia kuhusu AC inaonekana sasa sijui ni kuset ukiangalia naonekana inafanya kazi ila niliwauliza watu wa Japani walioniuzia wakasema ni Adjust sasa sijajua kwa hili gari jipya. Hili gari nimeagiza kutoka Japan. Nasubiri ushauri wenu nilipeleke . asanteni sana