Invisible na wakuu wengine naomba mnisaidie nawezaje kuzipata na forums nyingine kama jf Dr,jukwaa la lugha,science,technology nk manake kwangu hazipo.
asanteni wakuu
Here is some treat for the sky watchers, as today, the 12th December, the world will witness the brightest full moon ever. The moon to appear today is about 30 percent brighter and 14 percent...
Kwa wale walioko nyumbani ambao wako kwenye fani ya ujenzi au kwa wale wenye uzoefu na shughuli za ujenzi. Tafadhali ninaomba makadirio ya ukarabati ufuatao:
Ninajaribu kufanya makadio ya...
Wenye ufahamu wa mambo haya naomba msaada. Nataka kujaribu bahati yangu kwenye mchezo wa bahati nasibu wa EuroMillions. Kuna kampuni mbili za ma-agent wa online, Lottery24 na AAL ambazo zinadai...
Habari zenu wana JF,
Ni kwamba kuna utaratibu kwenye viwanja vya ndege kuzuia abiria kubeba vichupa vyenye vimiminika zaidi ya ml100. Kwa hiyo inalazimu abiria kulazimisha kupima mzigo hata...
Ninawatafuta
1.Patric ambaye mama yake ni Wanjila Zakaria. Patric alizaliwa Dodoma mwaka 1973 maeneo ya Msalato. Mama yake Patric ni mgogo. Baba yake Patric ni Mnyiha kwa jina ni Lemson Jonas...
ABDALLAH MJUME aka DULLAH au Jr, amefariki leo jumapili asubuhi katika nyumba aliyokuwa akiishi. Sababu ya kifo chake bado haijajulikana,ila taarifa fupi kutoka kwa watu waliokuwa nae inasema kuwa...
Happy birthday to you, Happy birthday dear Naima Happy birthday to you.
How old are you now, how old are you know, how old are you now.
Have a lovely and enjoyable birthday and may you live...
A good and PROFESSIONAL GRAPHIC DESIGNER is wanted on FREELANCE basis !
Payment will be done per Advert or Layout designed....
Send your PREVIOUS ARTWORKS for consideration !
ONLY...
Kama kuna wakati mtu anakumbuka kwao alikotoka basi kihoro cha hali ya uchumi duniani kinawafanya wakimbizi waanze kukumbuka walikotoka na pengine mambo yakiendelea watatafuta njia za kurudi...
Wajameni
Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary
ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi.
Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe...
Tunaomba Msaada kwa Wadau Nchini Uingereza..
Hello,
My name is Terri Place and I am the director of a small NGO in Bagamoyo called The Baobab Home www.tzkids.org have arranged for a...
South African singer Miriam Makeba has died aged 76 after being taken ill following a concert near the southern Italian town of Caserta, Ansa news agency reported on Monday.
Makeba was the...
Not at all...
Kuna topic iliwahi kuanzishwa hapa na mwanachama akilalamika kuwa JF haiko salama na iko uchi, sikujibu kitu nikaacha wadau wamjibu ili kuona wangapi wanaelewa kinachoendelea.
Kwa...
Waheshimiwa namtafuta mshikaji nilikuwa nae Chuo anaitwa Joseph Kahungwa. Nafahamu yupo USA lakini nimepoteza contacts zake yeyote mwenye kujua nampa anipenyezee kwenye PM
Natanguliza shukran