Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Invisible na wakuu wengine naomba mnisaidie nawezaje kuzipata na forums nyingine kama jf Dr,jukwaa la lugha,science,technology nk manake kwangu hazipo. asanteni wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Here is some treat for the sky watchers, as today, the 12th December, the world will witness the brightest full moon ever. The moon to appear today is about 30 percent brighter and 14 percent...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Happy birthday Dr. Mungu akujaalie maisha marefu yenye neema na baraka Hugs buddy
0 Reactions
27 Replies
4K Views
JIPATIE NAKALA YAKO HAPA CHINI:
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale walioko nyumbani ambao wako kwenye fani ya ujenzi au kwa wale wenye uzoefu na shughuli za ujenzi. Tafadhali ninaomba makadirio ya ukarabati ufuatao: Ninajaribu kufanya makadio ya...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wenye ufahamu wa mambo haya naomba msaada. Nataka kujaribu bahati yangu kwenye mchezo wa bahati nasibu wa EuroMillions. Kuna kampuni mbili za ma-agent wa online, Lottery24 na AAL ambazo zinadai...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NOTE: Some security alerts are FALSE,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Ni kwamba kuna utaratibu kwenye viwanja vya ndege kuzuia abiria kubeba vichupa vyenye vimiminika zaidi ya ml100. Kwa hiyo inalazimu abiria kulazimisha kupima mzigo hata...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ninawatafuta 1.Patric ambaye mama yake ni Wanjila Zakaria. Patric alizaliwa Dodoma mwaka 1973 maeneo ya Msalato. Mama yake Patric ni mgogo. Baba yake Patric ni Mnyiha kwa jina ni Lemson Jonas...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ABDALLAH MJUME aka DULLAH au Jr, amefariki leo jumapili asubuhi katika nyumba aliyokuwa akiishi. Sababu ya kifo chake bado haijajulikana,ila taarifa fupi kutoka kwa watu waliokuwa nae inasema kuwa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Happy birthday to you, Happy birthday dear Naima Happy birthday to you. How old are you now, how old are you know, how old are you now. Have a lovely and enjoyable birthday and may you live...
1 Reactions
43 Replies
8K Views
A good and PROFESSIONAL GRAPHIC DESIGNER is wanted on FREELANCE basis ! Payment will be done per Advert or Layout designed.... Send your PREVIOUS ARTWORKS for consideration ! ONLY...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna wakati mtu anakumbuka kwao alikotoka basi kihoro cha hali ya uchumi duniani kinawafanya wakimbizi waanze kukumbuka walikotoka na pengine mambo yakiendelea watatafuta njia za kurudi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wajameni Ninaomba msaada wa number ya simu ya mwanadada Nakaaya Sumary ama manager wake ama njia yeyote naweza kumfikia kabla ya jumamosi. Naomba unitumie kwenye PM kama hutopenda iwe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tunaomba Msaada kwa Wadau Nchini Uingereza.. Hello, My name is Terri Place and I am the director of a small NGO in Bagamoyo called The Baobab Home www.tzkids.org have arranged for a...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
South African singer Miriam Makeba has died aged 76 after being taken ill following a concert near the southern Italian town of Caserta, Ansa news agency reported on Monday. Makeba was the...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Not at all... Kuna topic iliwahi kuanzishwa hapa na mwanachama akilalamika kuwa JF haiko salama na iko uchi, sikujibu kitu nikaacha wadau wamjibu ili kuona wangapi wanaelewa kinachoendelea. Kwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tulikuwa tukifanya mazoezi pamoja pale YMCA karibu na kanisa la St. Alban Dar....Yeyote anayemfahamu......naomba contact zake.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waheshimiwa namtafuta mshikaji nilikuwa nae Chuo anaitwa Joseph Kahungwa. Nafahamu yupo USA lakini nimepoteza contacts zake yeyote mwenye kujua nampa anipenyezee kwenye PM Natanguliza shukran
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Click Hapa: Association of Tanzanian Women in Diaspora
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…