Punda ambwaga bosi wake na kumvunja mguu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
15th July 2009







Mkulima mmoja wa kijiji cha Mapango Wilayani Kondoa, amejeruhiwa vibaya baada ya punda wake kumbwaga chini.
Sasa mtu huyo aitwaye Ramia Husseni, 29, amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa ya Muhimbili, MOI.
Akiongea akiwa wodini, Bw. Ramia amesema tukio hilo alikumbana nalo wiki iliyopita wakati akitoka shambani kwake kuvuna mahindi.
Akasema siku hiyo baada ya kuvuna mahindi mengi shambani kwake, alimchukua punda wake aliyefungiwa mkokoteni kwa ajili ya kusafirisha mahindi hayo hadi kijijini kwake.
Akasema baada ya kuhakikisha mahindi yote yamepakiwa kwenye mkokoteni huo, alimpanda punda wake na kumwamrisha kuondoka eneo hilo.
"Kutokana na kijiji ninachoishi kuwa mbali na shambani, nilimuongoza punda kukimbia kwa kasi ili giza lisiingie nikiwa huko, lakini nikiwa katika mwendo huo, ghafla alinibwaga chini’’ akasema Bw. Ramia.
Anasema pamoja na kuanguka chini, punda huyo aliendelea kukimbia kwa kasi hiyo hiyo huku akimburuza chini na kusababisha avunjike mguu wake wa kushoto.
"Punda aliniburuza kwa muda mrefu kwani hapakuwa na mtu wa kumsimamisha, lakini baadaye punda alisimama baada ya kukosa mtu wa kumuongoza," akasema .
Afisa Uhusiano wa MOI, Bw. Almas Jumaa amesema mgonjwa huyo alifikishwa hapo jana akitokea Hosptali ya Mkoa wa Dodoma.
Amesema tayari madaktari wameanza kumpatia matibabu ya kunyoosha mguu wake kabla ya kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha mfupa uliovunjika.
:: IPPMEDIA
 
15th July 2009







Mkulima mmoja wa kijiji cha Mapango Wilayani Kondoa, amejeruhiwa vibaya baada ya punda wake kumbwaga chini.
Sasa mtu huyo aitwaye Ramia Husseni, 29, amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa ya Muhimbili, MOI.
Akiongea akiwa wodini, Bw. Ramia amesema tukio hilo alikumbana nalo wiki iliyopita wakati akitoka shambani kwake kuvuna mahindi.
Akasema siku hiyo baada ya kuvuna mahindi mengi shambani kwake, alimchukua punda wake aliyefungiwa mkokoteni kwa ajili ya kusafirisha mahindi hayo hadi kijijini kwake.
Akasema baada ya kuhakikisha mahindi yote yamepakiwa kwenye mkokoteni huo, alimpanda punda wake na kumwamrisha kuondoka eneo hilo.
"Kutokana na kijiji ninachoishi kuwa mbali na shambani, nilimuongoza punda kukimbia kwa kasi ili giza lisiingie nikiwa huko, lakini nikiwa katika mwendo huo, ghafla alinibwaga chini’’ akasema Bw. Ramia.
Anasema pamoja na kuanguka chini, punda huyo aliendelea kukimbia kwa kasi hiyo hiyo huku akimburuza chini na kusababisha avunjike mguu wake wa kushoto.
"Punda aliniburuza kwa muda mrefu kwani hapakuwa na mtu wa kumsimamisha, lakini baadaye punda alisimama baada ya kukosa mtu wa kumuongoza," akasema .
Afisa Uhusiano wa MOI, Bw. Almas Jumaa amesema mgonjwa huyo alifikishwa hapo jana akitokea Hosptali ya Mkoa wa Dodoma.
Amesema tayari madaktari wameanza kumpatia matibabu ya kunyoosha mguu wake kabla ya kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha mfupa uliovunjika.
:: IPPMEDIA


Inabidi tuwe makini sana na mifugo yetu
 
TAtizo kubwa ni hao madaktari wetu ,wasije wakamfanyia operesheni ya kichwa ,nakumbuka zamani ukivunjika mguu ,unakuta unavalishwa POP na mambo na watu wanapoa ,sasa siku hizi ukivunjika basi ujue kinachofuata ni operesheni ,hata hivyo naona serikali ya Tanzania imeangushwa chini ila wananchi wanakwenda mbio sasa ikifika siku wakasimama ,sijui itakuwaje ?
 
15th July 2009







Mkulima mmoja wa kijiji cha Mapango Wilayani Kondoa, amejeruhiwa vibaya baada ya punda wake kumbwaga chini.
Sasa mtu huyo aitwaye Ramia Husseni, 29, amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa ya Muhimbili, MOI.
Akiongea akiwa wodini, Bw. Ramia amesema tukio hilo alikumbana nalo wiki iliyopita wakati akitoka shambani kwake kuvuna mahindi.
Akasema siku hiyo baada ya kuvuna mahindi mengi shambani kwake, alimchukua punda wake aliyefungiwa mkokoteni kwa ajili ya kusafirisha mahindi hayo hadi kijijini kwake.
Akasema baada ya kuhakikisha mahindi yote yamepakiwa kwenye mkokoteni huo, alimpanda punda wake na kumwamrisha kuondoka eneo hilo.
"Kutokana na kijiji ninachoishi kuwa mbali na shambani, nilimuongoza punda kukimbia kwa kasi ili giza lisiingie nikiwa huko, lakini nikiwa katika mwendo huo, ghafla alinibwaga chini’’ akasema Bw. Ramia.
Anasema pamoja na kuanguka chini, punda huyo aliendelea kukimbia kwa kasi hiyo hiyo huku akimburuza chini na kusababisha avunjike mguu wake wa kushoto.
"Punda aliniburuza kwa muda mrefu kwani hapakuwa na mtu wa kumsimamisha, lakini baadaye punda alisimama baada ya kukosa mtu wa kumuongoza," akasema .
Afisa Uhusiano wa MOI, Bw. Almas Jumaa amesema mgonjwa huyo alifikishwa hapo jana akitokea Hosptali ya Mkoa wa Dodoma.
Amesema tayari madaktari wameanza kumpatia matibabu ya kunyoosha mguu wake kabla ya kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha mfupa uliovunjika.
:: IPPMEDIA


Hili nalo ni tangazo au!
 
Back
Top Bottom