how much fee yao?Ndio. Lakini unachukulia at the entry point. Airport/Namanga.
Passport tu.
Unahitaji kuwa na pasi ya kusafiria tu.
Wakuu kuna mmoja wenu alishawahi kwenda KE? Maana kuna mwingine kasema nahitaji VISA na nyie mwasema sihitajiki…..No need kama wewe ni raia wa East Africa.....just passport inatosha! Ila kuna vikadi fulani vya East Africa vinapatikana immigration unatakiwa kuvijaza....but again uzoefu wangu unaonyesha hakuna anayevifuatilia ukifika huko Kenya!
Ndio. Lakini unachukulia at the entry point. Airport/Namanga.
Wakuu kuna mmoja wenu alishawahi kwenda KE? Maana kuna mwingine kasema nahitaji VISA na nyie mwasema sihitajiki ..
Hamna...u dont require a VISA...infact if you have an EA paaport they dont even stamp...bora ujaze vile vikadi vya entry declaration.
I think getting a VISA will depend much on what you are going to do in KENYA.
Mi niko KENYA kikazi and I normally pay for it. USD100 for 3months.
Hata Wakenya wakija TZ kikazi pia hulipishwa hiyo amount.... Though some say this is just an arrangement these immigration people do to get money cos i've heard stories kwa Wakenya wakikamatwa hata kwenye mahoteli eti kisa hawakulipa hiyo hela...
Kwa wanaoelewa haya mambo ya ushirikiano wa kimataifa tungependa kujua hapa EA inakuwaje kuhusu VISA??
Is it official to do such payments??
I think getting a VISA will depend much on what you are going to do in KENYA.
Mi niko KENYA kikazi and I normally pay for it. USD100 for 3months.
Hata Wakenya wakija TZ kikazi pia hulipishwa hiyo amount.... Though some say this is just an arrangement these immigration people do to get money cos i've heard stories kwa Wakenya wakikamatwa hata kwenye mahoteli eti kisa hawakulipa hiyo hela...
Kwa wanaoelewa haya mambo ya ushirikiano wa kimataifa tungependa kujua hapa EA inakuwaje kuhusu VISA??
Is it official to do such payments??
Ama you can just sneak in and out like everybody else, just make sure your sheng is on point so that the cops dont sense the Tanzanian accent, and your pocket is laced with dollars ama ksh to give the cops incase wakushike. Many Foreigners work in Kenya with forged documents as long as you are not visibly different i.e you are not of Arab, Caucasian, or Indian descent.
Nauliza kwa mtanzania ukitaka kwenda kenya lazima uwe na visa?
Ama you can just sneak in and out like everybody else, just make sure your sheng is on point so that the cops dont sense the Tanzanian accent, and your pocket is laced with dollars ama ksh to give the cops incase wakushike. .
kiongozi lazima wa stamp passportHamna...u dont require a VISA...infact if you have an EA paaport they dont even stamp...bora ujaze vile vikadi vya entry declaration.
i aint goin nowhere ila kuna upambe fulani nafanya.....mjini hapa mkuumhh naona mpwa amesha kwea pipa kitambo nyie mnaendelea mkumpa maelezo wakati yuko Mombasa anakula ukwaju tih tih kwi kwi mpwa wangu ana matatizo kweli.
i aint goin nowhere ila kuna upambe fulani nafanya.....mjini hapa mkuu
wakuu thans sana.......haya mambo wengine hatujasafiri sana.....kuna wakati nilisikia ukiwa na mkoba Malawi hamna haja ya VISA ya kuingia kwa bibi lizabeti...kweli?