blackberry zinauzwa ni 8100 na 8800 bei ipo poa
contact 0788601211
Uffss...Ha ha ha ...black berry zaidi ya kuwa na outlook fuction sioni ziadi ya kununua Nokia E71...Ni bora zaidi...kwani sina bussness ya kunikeep busy na outlook.Uffss...JosM ina kamchezo ka kuwaka na kuzima?Tujuze mkuu wengine wasije ingia kwenye mtego.