Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama unayo mpya 4G/iphone 4, please PM
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Hivi kuna mtu ana kwenda Lamu au kama ipo kama hii Kilwa? Tourism boom expected as pilgrims arrive from Saudi , UK and Europe By ABDULRAHMAN SHERIFF (email the author) Your Email Message...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wote mnakaribishwa sana kusikiliza neno la Mungu. Mkutano umeanza leo na utaendelea hadi jumapili.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Rafiki yangu anatokea mwanza, anaenda Dar for 3 weeks on October, anatafuta gari ya kukodisha(self driving) kwa muda huo. Dau lake ni 150,000 kwa wiki. Kwahiyo kama una gari ndogo(body na engine)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau. Naombeni msaada wenu wa namna...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
MAGARI YANAUZWA KWA BEI NAFUU.WASILIANA NASI .YAMELIPIWA USHURU,IMPORTED FROM JAPAN. LUCUS (T) LIMITED,TUPO MIKOCHENI ,OLD BAGAMOYO ROAD OPPOSITE NA SHOPPERS PLAZA. Tel. 022 277 1316...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Salaams Wakuu, Natafuta iphone ya kununua, kama unayo naomba uni-PM Shukrani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta Toyota Land Cruiser HZJ78. Nimetafuta net youte sipati second hand. Kama kuna mtu anayo au anajua link anitumie (send the link ya gari hili, sio link ya site yenye kuuza magari tu) Thanks...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
helo wana jf ninaitaji chumba kwa sh elf 50000 kiwe self.au viwili kwa laki moja. pawe barabarani na maji na umeme.naitaji na housgirl cause naogopa kukaa alone mi ni msichana thax wana jf
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mdada naitaji chumba self maeneo hayo hapo juu sh 50000 mbili kwa laki moja kwa mwezi sehemu iwe nzuri karibu na barabara pawe na maji na umeme pls nyumba iwe ya kisasa kiasi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Frame inapangishwa mikocheni Tanesco chama 15 sqm few metres from old bagamoyo road, suitable for shop @ 1300000 per year call 0713435435
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa. mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO) ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x upana 25m)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ipo Maeneo ya Banana barabara ya kwenda Kitunda kule Relini. 1.Vyumba Vitatu vya Kulala na Master Moja 2.Packing na Geti ya Magari Matatu madogo 2.Umeme na Maji ya Kisima (Kama una...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa.<br> <br> mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO)<br> ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIWANJA VINAUZWA MBEZI MWISHO Mita 25*22 2.5 Mil., Mita 25*40 4.5Mil. UMEME UPO. vipo km 2.5hivi kutoka morogoro road upande wa kulia ukitokea mjini (Kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577).
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ipo Makongo Juu. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, store, garage, uzio, kodi shs 750,000/- kwa mwezi. kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Gari Gari Gari Gari Gari......................DUET Gari TOYOTA Duet 1999 inauzwa bei nzuri sana Specifications Mileage 42,000 Kilometres tu,cc 1000,PWs,AT,Gasoline(petrol) Ipo katika very good...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I'm looking for a Blackberry 9700, for anyone who is willing to sell or has one on sale please PM me asap!! Thanks
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika kuendeleza watanzania kuweza kutumia usafiri wa ndege kwabei rahisi kampuni ya ndege ya rwandair imetangaza promo kwa kila m tanzania sasa nauli za kwenda bujumbura tu usd 350 tax inclusive...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari dogo aina ya Nissan Premeler inauzwa, ipo katika hali nzuri sana. Piga 0786 046484 au gmwiga@yahoo.com
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom