Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza shamba lipo kisarawe ekari 11,limepimwa,lipo kilometa 15 kutoka kisarawe mjini.halijaendelezwa,barabara inapitika muda wote.bei ni milioni 22,inapungua. Kwa muhitaji piga 0767 337660
0 Reactions
1 Replies
2K Views
REF: TOYOTA COROLLA SPORT BODY KIT Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kama kuna mtu anafahamu mahali hapa dar es salaam ninapoweza pata sport body kit kwaajili ya toyota corolla (Allex/Runx...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
YEAR: 2000, 4x4, MILES: 106,000. Automatic 3.2L FUEL: Petrol, COLOR: Silver 5 Doors, Station Wagon. tvs in rear, Air conditioning, Alloy wheels, Central locking, Cruise control, Front armrest...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Year:2002, Miles: 121,000. Manual 2.0L Fuel: Petrol 5 Door Estate, Blue, Petrol, Rear electric windows, Radio/CD changer, Side airbags, Electric door mirrors, Passenger airbag...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANA JF KAMA KUNA MTU YUPO TAYARI KUNA MARK II IPO KWENYE HALI NZURI KABISA, AC POWER ENGINE YAKE POA RANGI NYEUPE 1LITRE PER 10KM KAMA UNAHITAJI nitumie E-mail mkipaluka@gmail.com nitakupa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BlackBerry Bold 9700 black in color kutoka USA inauzwa 400 USD na Nokia E 63 used red in color 1 GB memory (USED) inauzwa shilingi 150,000 Mawasiliano: 0713 531152
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaams ndugu zangu, Napenda kuwafahamisha kwamba gari inauzwa: Details za gari ni kama zinavyoonekana hapo chini: Gari iliingia Tanzania July 2010. Year: 1997 Model: E320 AVAN G Engine...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello, AM SELLING A GOOD 4x4 imported from the UK very good specs please see attached photos Nissan Navara Outlaw Engine:2.5TD Transmission: Manual Colour: Metallic Silver Model 2003 Engine...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Iwe desktop au mini tower. Bandiko lije na hardware specifications including price for each. unaweza hata kuni-PM
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WANA JF NATAFUTA PLOT YA KUNUNUA(KUJANGA KAJUMBA) IWE MAENEO YA MBWENI, BOKO, UPANDE WA BAHARINI BUT HATA LAKINI KUSIWE KABISA NA BAHARINI YAANI PAWE TU NA VIEW YA BAHARI HATA KAMA NIKIWEKA HAPO...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 800 square metre (40m x 20m) ambacho kipo: BLOCK F; TEGETA NAMANGA na pia kina HATI ya miaka 99 kinauzwa. Document zote zipo, utaruhusiwa kukagua hati, kukiona na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Several units of houses are available for sale at Kigamboni at very competitive prices within the areas demarcated for residential purposes namely KISOTA and GEZAULOLE. There are 47 semi detached...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJF, Kuna nyumba mbili zauzwa jijini DSM eneo la kipunguni-mashariki jirani ya kitunda kama ifuatavyo:- 1. NYUMBA YA KWANZA Ina vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sitting rum, veranda...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau katika kupitapita kwangu nimekuta shamba kubwa lipatalo acre 1000(443HA) linauzwa Shamba hili lipo eneo la Mavulu karibu na Ngerengere na ni kilometa 14 kutoka barabara kuu ya Dar-Morogoro...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni Baloon, Mark II, 4 Cylinder, Manual, ipo kyk hali nzuri sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninazo DELL OPTIPLEX 210L Tower Desktops, ziko dar. Screen ni Flat (17''), Processor Intel Pentium 4 n series 3.6GHZ, 512 DDR2 RAM, 80GB HDD. Price ni laki nne na nusu tu. Piga simu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF, mwana jamii mwenzenu natafuta kiwanja maeneo hayo niliyo yataja hapo juu includes Bunju. Tafadhari nitumie msg kupitia inbox yangu kwamba kiwanja kiko wapi, kina ukubwa gani. Hints...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Iwe pick-up. Inahitajika kwa ajili ya kununuliwa haraka sana . Iwe katika hali nzuri. unayo piga simu +255 784 225 000
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom