Gari dogo linauzwa

Gari dogo linauzwa

GAGL

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
392
Reaction score
400
Gari dogo aina ya Nissan Premeler inauzwa, ipo katika hali nzuri sana. Piga 0786 046484 au gmwiga@yahoo.com
 
Gari dogo aina ya Nissan Premeler inauzwa, ipo katika hali nzuri sana. Piga 0786 046484 au gmwiga@yahoo.com

Kabla mtu hajavutiwa kukupigia simu, lazima angalau alione gari lenyewe (picha mbili, tatu, nne zinahusika hapa...), useme gari imeshachapa lapa kilometer ngapi, unatarajia kuliuza kwa shilingi ngapi na kwa sasa gari hilo lipo mkoa gani (kwa urahisi wa kuliona...).

Please do the nidiful..
 
Kabla mtu hajavutiwa kukupigia simu, lazima angalau alione gari lenyewe (picha mbili, tatu, nne zinahusika hapa...), useme gari imeshachapa lapa kilometer ngapi, unatarajia kuliuza kwa shilingi ngapi na kwa sasa gari hilo lipo mkoa gani (kwa urahisi wa kuliona...).Please do the nidiful..
Nashukuru mkuu, nitaweka hizo picha na details nyingine. Ujue wengine tunatumia simu wakati mwingine kupost hizi habari. Ila kwa kuanzia, gari ipo mkoani dar es salaam, kama wewe unaweza kuwa maeneo ya posta mida ya kazi basi unaweza kuliona kwa macho na si kwa picha tena.
 
Nashukuru mkuu, nitaweka hizo picha na details nyingine. Ujue wengine tunatumia simu wakati mwingine kupost hizi habari. Ila kwa kuanzia, gari ipo mkoani dar es salaam, kama wewe unaweza kuwa maeneo ya posta mida ya kazi basi unaweza kuliona kwa macho na si kwa picha tena.
Weka bei sio gari linauzwa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom