Kuna sehemu ya kiwanja inauzwa.<br>
<br>
mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO)<br>
ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x upana 25m) zinauzwa<br>
umeme: upo (nguzo kiwanjani - huhitaji kuongeza nguzo, bali kulipia na kuwekewa mita ya TANESCO kama utajenga)<br>
maji: yapo (DAWASCO - kuna dira ya maji kiwanjani na maji hutoka kwa mgawo kama sehemu nyingine)<br>
barabara: inafika mpaka kiwanjani na sehemu zote za majirani<br>
majirani: tayari wamejenga nyumba zao na wanakaa hapo<br>
bei: milioni 37 (TShs. 37,000,000/=)<br>
manufaa: unapata kiwanja karibu na maeneo ya mjini; unaweza kupita njia ya chuo kikuu kuelekea katika shughuli zako (kukwepa foleni ya magari pale UBUNGO mataa)<br>
<br>
mwenye kuhitaji: simu namba: 0788-230578
<br>
mahali: UBUNGO MSEWE (kuelekea kanisa la ROMAN CATHOLIC - MSEWE ukitokea Morogoro road ukapitia pale KIBO)<br>
ukubwa: mita za mraba 1000 (urefu 40m x upana 25m) zinauzwa<br>
umeme: upo (nguzo kiwanjani - huhitaji kuongeza nguzo, bali kulipia na kuwekewa mita ya TANESCO kama utajenga)<br>
maji: yapo (DAWASCO - kuna dira ya maji kiwanjani na maji hutoka kwa mgawo kama sehemu nyingine)<br>
barabara: inafika mpaka kiwanjani na sehemu zote za majirani<br>
majirani: tayari wamejenga nyumba zao na wanakaa hapo<br>
bei: milioni 37 (TShs. 37,000,000/=)<br>
manufaa: unapata kiwanja karibu na maeneo ya mjini; unaweza kupita njia ya chuo kikuu kuelekea katika shughuli zako (kukwepa foleni ya magari pale UBUNGO mataa)<br>
<br>
mwenye kuhitaji: simu namba: 0788-230578