JE UMECHOSHWA NA HALI YA SASA YA MGAO WA UMEME?
JE, VIPI KUHUSU BEI YA MAFUTA KUPANDA, HAIKUUMIZI? NA
JE, VIPI KUHUSU ATHARI ZA MSHUMAA, HUZIOGOPI?
KAMA MAJIBU YAKO KWA MASWALI HAYO HAPO JUU NI...
Shamba lenye ukubwa wa heka 160,linauzwa liko Tengeru Arusha km 8 toka mainroad ya Arusha-Moshi lina lease ya miaka 99,unaweza nunua lote au kwa kipande kisichopungua heka 40.Linafaa kwa kujenga...
HOUSE FOR SALE, IT'S LOCATED AT MBAGARA, MAJI MATITU-MZAMBARAUNI, DAR ES SALAAM. THE HOUSE IS NEW, IT HAS 3 BEDROOMS INCLUDING ONE MASTER BEDROOM, 3 SITTING ROOMS, FULL TILED, ELECTRICITY AND...
Ninahitaji nyumba ya kupanga mitaa ya MIKOCHENI,KINONDONI,KIJITONYAMA au hata SINZA.
Nahitaji chumba kimoja au viwili vya kulala self contained,jiko na sitting room.kama itakuwa na sehemu ya...
Ndugu wana JF, natumai hamjambo!
Naomba mnisaidie wapi naweza kupata miti ya matunda yafuatayo? Nahitaji angalau miti miwili katika kila aina.
Nahitaji mnisaidie kunielekeza nitakapozipata...
jiko la gas lenye plate mbili na system ya kutolea hewa nje ni set,linauzwa.kwa watu ambao wapo interested piga 0659 158365, au email abapamas@gmail.com
bei ni laki 5 T shilings.
Wakuu,
nliwatangazia ishu ya kiwanja cha eka kumi na tano maeneo ya mpakani,vinapakana na barabara kuu ya lami,umeme upo ,maji yanapatikana yakichimbwa.
Bei isiyokukwaza kabisaa na picha zipo...
wakuu heshima mbele
nilifanikiwa kupata mbwa jike bado kigoli kabisa shukurani ziwaendee MKUU NGULI JABALI, PARACHICHI na wengine weengi natafuta jina la kumpa cjapenda nilomkuta nalo anaitwa VAN...
Dear All
may i draw your attention about the new and wonderful Blog called WajanjaBongo Blog
this is comming up soon by the end of this month, hesitate not to visit by next month
for more...
miti ya mipingo maarufu kwa kutengenezea vinyago na furniture mbalimbali inapatikana hapa.bei ni makubaliano.piga 0659631651 au email dll_kaale@yahoo.com
Machine hii ilikuwa ikifanya kazi lakini ikawa stoo kwa muda mrefu hivyo panya wakaingia ndani, kwa mafundi inawafaa sana kwa spea bei sawa na bure call me 0787 481056
Greetings wanaJF
Niko hapa leo kutafuta information kuhusu Used Pump za kuuzia mafuta ya taa au petroli.
Nimeshaulizia vituo kadhaa vya kuuza mafuta lakini sijabahatika kupata.
If there...
Waungwana wa jamvi hili la vijana shupavu napenda kuwataarifu kuwa unaweza kupata card reader za 1slot na 4in1, pia tunazo external bluetooth zenye kusupport wireless internet connection from...
Kiwanja chenye ukubwa wa 450 square metre (18x26) ambacho kipo opposite na Vijana Social Hall kinauzwa.
Document zote zipo na hakina mgogoro wowote.
Bei 100m
Mawasiliano: 0713531152
Inahitajika Fuso Kwa ajili ya Kununua
Tone 7
Single or Double Diff.
Used nje ya Nchi lakini iwe katika hali nzuri.
Ni-PM ukiwa ume-include Price na other technical specification
Thanx!!
Unataka kushinda kura za maoni na kuteuliwa na chama chako kugombea ubunge au nafasi yeyote ya uchaguzi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Unataka kugombea ubunge kama mgombea binafsi na kushinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.