Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Dear ma sis Nakutakia sikuku njema ya ukumbusho wa kuzaliwa kwako;kwanza nampongeza mama aliekubali kukubeba miezi tisa bila kumtukuza mzee wetu aliepigana wewe kuja dunian na mwisho kwa wale wote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta nyumba maeneo ya kuanzia mbezi Africana kurudi hadi kijitonyama hadi makumbusho. vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, dining, na parking. Thanks
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ipo Kimara Mavurunza mita chache kutoka ''Morogoro road''. Ina vyumba vinne vya kulala(kimoja master bedroom, self contained). Ina sebure kubwa yenye ukubwa wa sqm 40, jiko lenye ukubwa wa sqm 15...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vipo Mbezi Beach Juu. Vipo umbali wa kilomita nne kutoka Bagamoyo Road inayofanyiwa upanuzi. Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa muziki wa Kikongo, pata raha isiyo na kifani hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MacBook 2.4GHz : 250GB 2.4GHz Intel Core 2 Duo 2GB DDR3 memory 250GB hard drive1 8x double-layer SuperDrive NVIDIA GeForce 320M graphics Built-in 7-hour battery2 zipo 4 (brandy new)na kila...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ninaomba kufahamishwa mitandao ya kijamii ya aina ya Jamii forums kutoka nchi za jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia na Congo ( DRC). Iwe ni ya lugha ya kiswahili au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni ya mwaka 2004 E series E240, km 55200 bei ni USD $30,000 iko kwenye condition safi sana all the services books are available.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
mwenye kiwanja maeneo ya mikese(moro) anifahamishe bei ,ukubwa na kilipo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zipo kijitonyama kisiwani karibu na kisiwani Polisi Post au shule ya mama Salma. Kila moja ina vyumba vitatu vya kulala sebure diining jiko na store. Maji masaa 24. kila moja inapangishwa kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
URGENT: A three bedroom, fully furnished house, is IMMEDIATELY REQUESTED, for lease in the Masaki Suburb of Dar es Salaam. The budget is USD 4,000.00 per month, payable annually. If you are the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtanzania mwenye makazi yake nchini Marekani ameanzisha kampuni ya simu itwaya umojaphone kwa ajili ya international calls, na bei ni poa kulinganisha na makampuni mengine kama vile VOIP na SKYPE...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa Mbezi Makabe ukubwa 22x25 bei sh M2.5 kwa anayehitaji tafadhali piga simu namba 0713876210
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu kuna mfanyakazi mwenzangu kapata email ifuatayo kuhusu green card, yeye anaamini kuwa habari hiyo ni kweli, japo tumemshauri sana kuwa awe makini, maoni wakuu... Dear John Mwen'gan...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wadau Nauza Bajaji yangu imetumika miezi 2 tu, Aina ya TVS King 2 stroke Bei poa na maelewano, iko Upango karibu na diamond jubilee kwa mawasiliano zaidi piga 0764 321519
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Iwe haijagongwa,imetumika si zaidi ya 6Month,1500cc,5doors,any colour bt not red,any yr but >1997,Naomba kama unayo nisaide ndg yangu.Preff Automatic,Km ilizotembea <125,000KM. RE.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwanja kwa ajili ya matumizi ya shule ya nursery kinauzwa, kina ukubwa wa 2400 square meters. Kiwanja kimepimwa na kina hati kwa matumizi ya shule ya nursery na kipo Mwanagati, Ilala eneo la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Great Thinkers, Natafuta nyumba, ikiwa na vyumba 2 vya kulala, Sebule, Chooo, Jiko na Parking maeneo yeyote Arusha (preferably Njiro, Burka,Nane Nane, isiwe mbali sana na barabara kubwa.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Are you looking to Rent to or Buy a Property? Are you looking for a Tenant or a Buyer for your Property? Visit:Property & Real Estate Tanzania For more information please call: 0784225000...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom