Dear ma sis
Nakutakia sikuku njema ya ukumbusho wa kuzaliwa kwako;kwanza nampongeza mama aliekubali kukubeba miezi tisa bila kumtukuza mzee wetu aliepigana wewe kuja dunian na mwisho kwa wale
wote...
natafuta nyumba maeneo ya kuanzia mbezi Africana kurudi hadi kijitonyama hadi makumbusho. vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, dining, na parking.
Thanks
Ipo Kimara Mavurunza mita chache kutoka ''Morogoro road''. Ina vyumba vinne vya kulala(kimoja master bedroom, self contained). Ina sebure kubwa yenye ukubwa wa sqm 40, jiko lenye ukubwa wa sqm 15...
Natafuta meneja wa kusimamia mradi wa kusaga, kukoboa,kupack na kuuza nafaka. Anatakiwa awe na uzoefu walao wa miaka miwili katika kazi hiyo hapa Dar es salaam. Awe na elimu walao ya kidato cha...
Vipo Mbezi Beach Juu. Vipo umbali wa kilomita nne kutoka Bagamoyo Road inayofanyiwa upanuzi.
Vipo viwanja saba. Viwili vina Hati Miliki (Tittle Deed), kila kimoja kina ukubwa wa sqm 1000 au 25...
Ninaomba kufahamishwa mitandao ya kijamii ya aina ya Jamii forums kutoka nchi za jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia na Congo ( DRC). Iwe ni ya lugha ya kiswahili au...
Zipo kijitonyama kisiwani karibu na kisiwani Polisi Post au shule ya mama Salma. Kila moja ina vyumba vitatu vya kulala sebure diining jiko na store. Maji masaa 24. kila moja inapangishwa kwa...
URGENT: A three bedroom, fully furnished house, is IMMEDIATELY REQUESTED, for lease in the Masaki Suburb of Dar es Salaam. The budget is USD 4,000.00 per month, payable annually. If you are the...
Mtanzania mwenye makazi yake nchini Marekani ameanzisha kampuni ya simu itwaya umojaphone kwa ajili ya international calls, na bei ni poa kulinganisha na makampuni mengine kama vile VOIP na SKYPE...
Wakuu kuna mfanyakazi mwenzangu kapata email ifuatayo kuhusu green card, yeye anaamini kuwa habari hiyo ni kweli, japo tumemshauri sana kuwa awe makini, maoni wakuu...
Dear John Mwen'gan...
Habari wadau
Nauza Bajaji yangu imetumika miezi 2 tu, Aina ya TVS King 2 stroke
Bei poa na maelewano, iko Upango karibu na diamond jubilee kwa mawasiliano zaidi piga 0764 321519
Iwe haijagongwa,imetumika si zaidi ya 6Month,1500cc,5doors,any colour bt not red,any yr but >1997,Naomba kama unayo nisaide ndg yangu.Preff Automatic,Km ilizotembea <125,000KM.
RE.
Kiwanja kwa ajili ya matumizi ya shule ya nursery kinauzwa, kina ukubwa wa 2400 square meters. Kiwanja kimepimwa na kina hati kwa matumizi ya shule ya nursery na kipo Mwanagati, Ilala eneo la...
Great Thinkers,
Natafuta nyumba, ikiwa na vyumba 2 vya kulala, Sebule, Chooo, Jiko na Parking maeneo yeyote Arusha (preferably Njiro, Burka,Nane Nane, isiwe mbali sana na barabara kubwa.
Are you looking to Rent to or Buy a Property?
Are you looking for a Tenant or a Buyer for your Property?
Visit:Property & Real Estate Tanzania
For more information please call: 0784225000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.