Upatikanaji wa flemu Mwenge, Sinza, nk - dar na bei zake

Masomi

Member
Jan 18, 2011
22
4
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.

Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa watu na inayofaa kwa biashara hiyo, makadirio ya bei za flem kwenye maeneo husika yatanisaidia pia.

Pia natumai nitapata ushauri mzuri kutoka kwa wadau wa biashara hiyo juu ya changamoto zake na namna ya kukabiliana nazo maana ndio niko kwenye mchakato na najaribu kufanya reserch kabla sijaingia rasmi.


Asanteni..... naomba kuwasilisha!​
 
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.

Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa watu na inayofaa kwa biashara hiyo, makadirio ya bei za flem kwenye maeneo husika yatanisaidia pia.

Pia natumai nitapata ushauri mzuri kutoka kwa wadau wa biashara hiyo juu ya changamoto zake na namna ya kukabiliana nazo maana ndio niko kwenye mchakato na najaribu kufanya reserch kabla sijaingia rasmi.


Asanteni..... naomba kuwasilisha!

Wewe ni Muha au Mchaga kama sio wa hayo makabila ni ndoto kupata fremu za biashara pale Mwenge watu wa asili ya makabila hayo mawili ndio wamehodhi fremu zote pale Mwenge
 
ongea na madalali ndo wanajua frem
Ni kweli natambua kwamba nahitaji kuongea na madalali lakini hapa pia kuna wadau wengi wakiwemo madalali pia wanaoweza kunipa angalau mwongozo wa kufuata, ushauri dhidi ya changamoto za biashara yenyewe pia ni muhimu na unapatikana kwenu wadau!

Nashukuru na nazidi kusubiri msaada wenu.
 
Wewe ni Muha au Mchaga kama sio wa hayo makabila ni ndoto kupata fremu za biashara pale Mwenge watu wa asili ya makabila hayo mawili ndio wamehodhi fremu zote pale Mwenge

Dah jamani hata kwenye ujasiliamali kuna ufisadi na ukabila pia, anyway naomba nisiamini katika ukabila cha msingi ninaimani humu kuna wadau wengi wanaoweza kunisaidia kwa ushauri, hata hivyo si lazima iwe Mwenge bali hata sehemu nyingine ilimradi iwe na sifa za kuweka duka la vipodozi!
 
magomeni fundikira zipo za kumwaga sema tu biashara pale haijachangamka.
Kupta fremu zipo ulizia fremu za mmiliki tarakea restaurant bei ni kubwa kidogo nafikiri kuanzia laki 8 kwa mwezi na kuendelea
Otherwise tumia dalali kupta fremu nzuri ni vigumu kujua bila kuwatumia wale
 
magomeni fundikira zipo za kumwaga sema tu biashara pale haijachangamka.
Kupta fremu zipo ulizia fremu za mmiliki tarakea restaurant bei ni kubwa kidogo nafikiri kuanzia laki 8 kwa mwezi na kuendelea
Otherwise tumia dalali kupta fremu nzuri ni vigumu kujua bila kuwatumia wale

Nashukuru sana Bank, nitayafanyia kazi hayo yote ila tu hapo kwenye red sijakuelewa vizuri, nitashukuru kama utanifafanulia zaidi hilo eneo liko wapi?
 
fremu mwenge zinapatikana!ila tatizo ni eneo!zipo zile za vichochoroni hata leo ukitaka utaipata tuu!cha muhimu tia timu hapo mwenge ulizia madalali watakuonyeshea kila kona na bei pia watakuambia.
 
Masomi,

Mie nina shida hiyohiyo na niliandika tangu wiki jana. Mie nahitaji kasehemu kadogo tu kwa ajili ya Sample chache na Tester maana zaidi nataka kuwa nauza kwa JUMLA. Product zangu zote zatoka Europen Union na hivyo ni quality nzuri ukilinganisha na bei. Kama ukipata sehemu ndogo na ukawa huitaki (Isizidi 150,000 kwa mwezi) basi nijulishe mie.

Kama wee wahitaji sehemu kubwa basi nikipata sehemu kubwa ntakujulisha. Pia kama utahitaji Perfumes au vipodozi vya aina fulani, nijulishe kwani naweza kuwa nakutafutia na kukuzia kwa bei nafuu sana. Lengo langu ni kuwa nijulikane kama Msambazaji na si kutajirika kwa siku mbili. Hiyo inanifanya niuze kwa bei nafuu sana na wauzaji wa rejareja wanapata faida kuzidi hata mie kwa chupa.

Ukipata simu za hao madalali, na ukawa umemalizana nao, basi ntashukuru na mie ukinitumia.

Thanks in Advance.
 
fremu mwenge zinapatikana!ila tatizo ni eneo!zipo zile za vichochoroni hata leo ukitaka utaipata tuu!cha muhimu tia timu hapo mwenge ulizia madalali watakuonyeshea kila kona na bei pia watakuambia.

Nashukuru parachichi, next week nitakuwa Dar nitafika maeneo hayo japo vya uchochoroni inawezekana visinifae sana maana si unajua biashara ya vipodozi inafaa sehemu yenye mkusanyiko wa watu, anyway nitafika nionane na hao jamaa.
 
Masomi,

Mie nina shida hiyohiyo na niliandika tangu wiki jana. Mie nahitaji kasehemu kadogo tu kwa ajili ya Sample chache na Tester maana zaidi nataka kuwa nauza kwa JUMLA. Product zangu zote zatoka Europen Union na hivyo ni quality nzuri ukilinganisha na bei. Kama ukipata sehemu ndogo na ukawa huitaki (Isizidi 150,000 kwa mwezi) basi nijulishe mie.

Kama wee wahitaji sehemu kubwa basi nikipata sehemu kubwa ntakujulisha. Pia kama utahitaji Perfumes au vipodozi vya aina fulani, nijulishe kwani naweza kuwa nakutafutia na kukuzia kwa bei nafuu sana. Lengo langu ni kuwa nijulikane kama Msambazaji na si kutajirika kwa siku mbili. Hiyo inanifanya niuze kwa bei nafuu sana na wauzaji wa rejareja wanapata faida kuzidi hata mie kwa chupa.

Ukipata simu za hao madalali, na ukawa umemalizana nao, basi ntashukuru na mie ukinitumia.

Thanks in Advance.

Nimekupata vizuri sana ssambali, labda ungeniambia hiyo ndogo iwe angalau na vipimo gani na sehemu gani unazopendelea ili nikipata inayofanana ndo nikujulishe, vilevile hata mm si lazima iwe kubwa sana lakini hata size ya kati (10ft. x 8ft.) inaweza kunifaa pia.
Cha msingi ni kwamba angalau wewe utakuwa unatafuta na mm natafuta pia na nguvu zetu zikiwa pamoja tutafanikiwa. Suala la hivyo vipodozi nadhani nikishapata flemu ndo tutaongea vyema maana nitahitaji.

Thanks
 
Masomi,Mie nina shida hiyohiyo na niliandika tangu wiki jana. Mie nahitaji kasehemu kadogo tu kwa ajili ya Sample chache na Tester maana zaidi nataka kuwa nauza kwa JUMLA. Product zangu zote zatoka Europen Union na hivyo ni quality nzuri ukilinganisha na bei. Kama ukipata sehemu ndogo na ukawa huitaki (Isizidi 150,000 kwa mwezi) basi nijulishe mie. Kama wee wahitaji sehemu kubwa basi nikipata sehemu kubwa ntakujulisha. Pia kama utahitaji Perfumes au vipodozi vya aina fulani, nijulishe kwani naweza kuwa nakutafutia na kukuzia kwa bei nafuu sana. Lengo langu ni kuwa nijulikane kama Msambazaji na si kutajirika kwa siku mbili. Hiyo inanifanya niuze kwa bei nafuu sana na wauzaji wa rejareja wanapata faida kuzidi hata mie kwa chupa.Ukipata simu za hao madalali, na ukawa umemalizana nao, basi ntashukuru na mie ukinitumia.Thanks in Advance.
Nipigie tuongee 0754 827198
 
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa watu na inayofaa kwa biashara hiyo, makadirio ya bei za flem kwenye maeneo husika yatanisaidia pia.Pia natumai nitapata ushauri mzuri kutoka kwa wadau wa biashara hiyo juu ya changamoto zake na namna ya kukabiliana nazo maana ndio niko kwenye mchakato na najaribu kufanya reserch kabla sijaingia rasmi.Asanteni..... naomba kuwasilisha!​
Nipigie upate frem mwenge 0716099463
 
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.

Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa watu na inayofaa kwa biashara hiyo, makadirio ya bei za flem kwenye maeneo husika yatanisaidia pia.

Pia natumai nitapata ushauri mzuri kutoka kwa wadau wa biashara hiyo juu ya changamoto zake na namna ya kukabiliana nazo maana ndio niko kwenye mchakato na najaribu kufanya reserch kabla sijaingia rasmi.


Asanteni..... naomba kuwasilisha!​

Habari wana JF, bado naendelea na huu mchakato, yeyote mwenye taarifa zinazoweza kunisaidia afanye hivyo.
 
Back
Top Bottom