kipakaMwitu
Senior Member
- Feb 19, 2009
- 158
- 20
kiwanja kipo eneo zuri mtaa wa matosa. Mbez mwisho dsm, mita chache kutoka shule ya msing Goba. Bei ni 10mil, kama uko serious PM me.
Ingetosha kusema kipo Goba na sio kuzunguuka mara mbezi mwisho mara matosa mara karibu na shule.kwanza kuna umeme?maji? kiwanja kimepimwa?gari inafika site?hizo ni features nazoona zinatakiwa uelezee
oi ! Hivi Goba ni Kubaya? Maanake nakumbuka miaka fulani nilipokuwa mtumiaji wa Mabasi nikienda Tegeta au Mbezi Makondakta wakisema Njia panda ya Goba abiria Kimya... Akisema Tangi Bovu Utasikia wanaibuka wengi Shusha.... oi
Bado hakuna maendeleo hadi ukitaka kuuza kiwanja lazima upaite Mbezi Mwisho enh!
kiwanja kipo eneo zuri mtaa wa matosa. Mbez mwisho dsm, mita chache kutoka shule ya msing Goba. Bei ni 10mil, kama uko serious PM me.