Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wandugu najua humu hakuna lisilo tatuliwa angalau kwa mawazo!! Hivi machine za kufyatulia matofali nitazipata kwa kiasi gani na wapi? natanguliza shukrani za dhati!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo mita 800 kutoka NJIA PANDA(HIMO) kama unaelekea Dar-es Salaam ukitokea Arusha,ukubwa wake ni heka moja kimepimwa kama eneo la mji kwa ajili ya maandalizi ya jiji la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu. Gari mbili zinauzwa tanga. Toyota IST. year 2002. 90,000 km. in good condition. bei. 13 mil. Toyota Caldina. year 1996. 4.5 mil. In good condition. price negotiable for...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu wangu, naomba msaada wa kupata kiwanja cha kuishi. sehemu yenyewe iwe na sifa zifuatazo 1. iwe sehemu yenye climate nzuri ( mvua hazikosekani) 2. udongo wenye rotuba ( natazamia kufanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa, Tunapenda kuwakaribisheni wote kuwa kwa yeyote mwenye kuhitaji simu original na zenye waranty ya mwaka mzima (nokia, samsung, LG, Blackberry all models, Sonny Erricsson)...chonde atuone...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya Wanafunzi wa Tumaini University, Iringa. Ni umbali wa mita 200 tu kutoka chuoni, kila chumba ni self contained, kina maji na umeme. Kila chumba kina kitanda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili linauzwa. Shamba hilo lipo katika kijiji cha Kerege Matumbi, kuelekea njia iendayo katika kijiji cha kilemela. Ni kilomita moja toka katika barabara ya lami...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama unahitaji muziki kwa shughuli ya aina yeyote ile,iwe ubarikio,ubatizo,komunio,Kipaimara,Ndoa,Harusi,Send Off,Beg Party,Kitchen Party,Graduation,Mkutano,Misiba,Mhadhara au aina ya Sherehe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hii ni kampuni inayoshughulika na maswala ya solar and electrical installation Sehemu tulizo bobea kwa ujumla: General domestic and industrial electrical installation. Electrical machines and...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni 4n iliyotumika , ila bado iko kwnye good condition! Niko Dar , upanga! If u hv interestd to buy it, PM me 4 biznes
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Sisi tunajishughulisha na uuzaji wa simu rejareja na jumla, simu zetu zote zina warranty ya miezi 12. Sisi ni Nokia- SUPER DEALER Sisi ni Motorola- AUTHORISED DISTRIBUTOR Sisi ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwani kuna umuhimu wa kutangaza biashara yako kwenye mitandao? kwakunisaidia zaidi ili nipate success kwenye biashara yangu nitajie sehemu ninazoweza kutangaza au ninaweza kupata system ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajamvi, Iko sokoni - Toyota Nadia iko katika hali nzuri kabisa. Registered,full duty paid, 90,000 kms, automatic transmission, sports rims. Other options: AM/FM Tuner, CD/DVD/TV, Dual...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Watanzania wenzangu, inasikitisha sana mtu kuona au kuokota kitu cha mwenzako lakini unashindwa kukithamini au kukipeleka kwenye chombo cha usalama. Angalia tofauti; 1. Kizazi cha zamani (Babu na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hdd 250gb/ram 2gb ni intel R CORE TM i3 ni HP PROBOOK na zingine nyingi; napatikana temeke / tandika 0717525251!
0 Reactions
24 Replies
3K Views
A Beach plot measuring 22123Sqm/ 6Acres,located at bagamoyo tourist destination about 45kms from Dar es salaam city centre. Price:Negotiable Contact:+255 717 740 341
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HOTEL / GUEST HOUSE ( UNFINISHED- IKO LEVEL YA LENTA ) INAUZWA , INA VYUMBA 40 VYOTE SELF CONTAINER, MAJENGO MAWILI, IPO MOROGORO ENEO KUBWA NA ZURI SANA (nyuma ya stand ya mabus msamvu , Opposite...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waheshimiwa wanajamvi Babu yenu hapa nina kapick kangu kalipata ajali hivi majuzi na hivi sasa tunavyoongea tumegundua kuwa chassis imepinda kidogo kwa mbele. Hali hii imepoteza mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
A good location for petrol station available in Arusha .Contact to 0653 088887
0 Reactions
0 Replies
952 Views
BIZ Knowledge bure: Kunawatu watu wanajiita wajasiriamali lakini wako nyuma kwenye kujitangaza au ndo hawafahamu coz zipo forum,blog na baadhi ambazo ni free of expressions kusema chochote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom