Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu, Nauza Mazda Demio ya Mwaka 2003, CC 1300, Mille-age 106,000 Petrol, Milango 5, 5 seater, Ishasajiliwa, Imetoka Bandarini last week, Bei 7.8Mil, Picha nitaziweka soon, Mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PROMO PROMO PROMO Schoolbook classic is web portal for schools and academic entities. With schoolbook you can easily find different school profiles around the word, together with schools...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Nina Iphone version 3.1.3 nataka ku-upgrade iwe 4.2.4 au zaidi mwenye uwezo huo nijulishe ili nikuletee unirekebishie Mimi Niko Dar-es-salaam. Pia itapendeza kama ataweza kuniwekea Winterboard.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
USHAURI KUHUSU UNUNUZI WA GARI Samahani kwa usumbufu wadau. Naombeni ushauri wenu kuhusu gari kati ya OPA NA NADIA ipi inakula mafuta sana. Vipi na garama za service. Nahitaji kununua kati ya...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
I have Mini Laptops Available from USA, If you or your friends interested let me know. Limited Stock Dell Inspiron Mini 10 Intel Atom 1.6GHZ 1GB RAM 160GB Hard Drive 10.1 '' WideScreen WIFI...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba Bi. Esther Reuben ameaga dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Da es salaam. Kwa wale waliosoma Moshi technical secondary...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
brand new hd sony bravia lcd 32 inches usd enabled inauzwa 750000 call 0767435430
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu natanguliza shukrani. Nategemea kuja Dar mwanzoni mwa September sasa ni wapi naweza pata nyumba ya kupanga kwa muda mfupi kama wiki 2 au less hivi, hakuna masharti magumu sana ila tu iwe...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa maelezo zaidi wasiliana na 0759311775 au 0716622185.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
jamani nilitangaza kua kuna fremu ninazipangisha maeneo ya manzese midizini na godown sasa zimebakia fremu nne na godown moja bei za fremu ni 160,000 na warehouse ni mil moja na laki sita...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
wakuu nahitaji studio apartment, yani one big master bedroom inayojitegemea, iwe ndani ya fenced compound kwa ajili ya usafiri wangu, maeneo ya savey, opposite na mlimani city upande wa kwa kakobe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza gari aina ya Land cruiser Prado bei ni 17ml haina tatizo lolote na dalali hatakiwi
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Specifications Mobile Phone/Car Plug & Play Bluetooth Rear-view mirror with integrated Bluetooth hands-free system (is simply docked at the existing rear-view mirror) Therefore ideal...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zanguni katika kukwamuana kiuchumi mimi ni mtaalamu wa sofa nipo mbeya jiji tuwasiliane kwa simu no. 0763125537 asante.
0 Reactions
2 Replies
352 Views
kuna rafiki yangu anatafuta frem ya grocery, ametembea na madalali hadi amechoka, msaada kwa mwenye taarifa kwa maeneo ya sinza, kinondoni na maeneo jirani na hayo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TAIRI MPYA KABISA NA RIM ZAKE YOKOHAMA KUTOKA JAPAN NIMETUMIA KM 20 SPECS MATAIRI: 205/70 YYY2603 ICE GUARD SPECS RIM: R15 BEI RIM 1 80,000 TAIRI 1 150,000 UKINUNUA RIM + TAIRI...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
IPHONE 4 brand new from UK 16GB zinauzwa kwa bei ya 750,000/-. Simu zote ni UNLOCKED , wewe unaweka LINE yako na kuanza mawasiliano mara moja. Kwa yeyote anayehitaji anaweza kuwasiliana nami kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shamba linauzwa kigamboni mbele ya KIBADA.after dar es salaam zooNdugu wana JF ,shamba la ukubwa wa ekali 2 linauzwa kigamboni mbele ya kibada ,maeneo ya MWASONGa.Gari linafika mpaka shambani...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Microsoft Windows Mobile 6.1 Professional RAM 128MB ROM 256 MB CPU 528 MHz 3G Network AND 2G Network. WAP 2.0/xHTML, HTML (PocketIE) CSD, GPRS, EDGE, UMTS, HSDPA, HSUPA Touchscreen Open-out...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna yeyote anayefahamu kiwanja kinachouzwa au nyumba Shanty Town, Moshi naomba anijulishe kwenye namba hii: 0754-757017.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom