Wadau habari za jioni..naomba msaada kwa anayejua bei ya Sam sung Galaxy Tab kwa Dar na ni duka gani naweza kuipata bila kuwa imechakachuliwa.
asanteni sana.
HELLOO JF!!!!
I hope mko powah membersss
Am sellling my blackberry 8310 only for 200,000
i have just used only for one month!!!!
its in very good condition
HERE ARE ITS PHOTOS...
Natumaini nimeweza ku-attach tangazo langu.
Ni kitabu kizuri chenye kuelimisha pia juu ya athari za dawa za kulevya kwa namna ya hadithi.
Karibuni mniunge mkono.
Wadau Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa mita 20 kwa 30. Kiko maeneo ya Moshi bar kwa mkolemba jirani na Kanyigo bar. Umeme na maji yanapatikana hapo hapo. Bei 9m. Real buyers mni PM.
Latest Mac Book Pro 13" with Mac OS X operating system for sale with the following specs:
Version 10.6.7
Processor 2.3 Ghz Intel Core i5
Memory 4Gb 1333 MHz DDR 3
Graphic software includes: Adobe...
Viwanja vyenye sura ya mashamba vinauzwa, vipo katika kijiji che Kerege, kijiji cha pili toka Bunju katika barabara iendayo Bagamoyo. Viwanja hivyo vipo umbali wa kilimomita 1 kutoka Bagamoyo...
Tunauza Technic MK2 Turntables na Dj Mixer ziko katika hali nzuri very good condition kwa bei poa kabisa.
kama unahitaji unaweza kuwasiliana katika email hii absdolo@gmail.com
Hivi majuzi nikiwa Wa kushuhudia uchaguzi nilipata kuwasiliana na jamaa mmoja muhimu sana na tulipotezana ghafla baada ya yeye kuwa akielekea nyumbani. Kwa mwana JF anayefahamu contact details za...
Tunatoa huduma ya Survey ya plots, kuangalia kama plots zipo mahali salama katika ramani ya mipangomiji na kushughulikia upatikanaji wa hati ya umiliki wa kiwanja. Also tunafanya topographical and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.