Habari wana JF, kuna catepillar model 428B loader backhoes, lipo katika hali nzuri,linatembea,..kwa maelezo zaidi piga simu namba 0784483101 au 0786057057.
Kuna kiwanja chenye ukubwa meta za uzio 1043 maeneo ya mwongozo Kigamboni.Kwa anayehitaji awasiliane na namba ifutayo mtaelewana bei na mengineyo.0754-210270
Salaam wanajamii, naombeni kama kuna mtu yeyote mwenye aidha kujua au kusikia kama kuna nyumba/chumba cha kupanga maeneo kati ya Upanga,jangwani au karibu ya maeneo hayo hasa karibu na Muhimbili...
Nyumba self contained inapangishwa iko mbezi luis barabara ya mpigi kama km 2 kutoka Morogoro road. ina vyumba vitatu vya kulala (moja ni master) ina fensi ya ukuta, maji ya na kisima cha ltr...
Wana jf anaefahamu namna gan ntaweza kuunganisha internet ya tigo kwenye cm,mana nimejaribu kutuma ujumbe mfupi wa neno WAP na aina ya simu na model kwenda 500 lakin imekataa,msaada tafadhal
Vipo Mbezi Juu, TADEDO. Mita 50 kwa 25 Bei 25 milioni. Mita 47 kwa 30 Bei 25milioni. Mita 40 kwa 25 Bei 18 milioni. 2333 square meters kina Hati Miliki Bei 35mil. Mita 30 kwa 25 Bei 20...
2000 Toyota Opa for sale..
Price: $7,000 (Non negotiable)
Features:
Mileage: 110,000 km
Beautiful Interior and great condition
Everything working good
No Accident
Duty fully paid with...
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni.
Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, piga namba 0658 517...
Habar za asubuhi.
Nauza furniture. ipo kwenye very good condition. pia na deep freezee moja na fridge ndogo all in good condition.
furniture on sale is kabati,dressing table,dinning table etc...
Shamba lenye ukubwa wa mita 280 urefu na 247 upana linauzwa maeneo ya kimbiji,nnje kidogo ya mji wa kigamboni. Shamba lina mazao ndani yake kama vile minazi,migomba,michungwa nk. Bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.