Laptops bei poa,nahitaji wateja,nashindwa kuzitangaza!

Laptops bei poa,nahitaji wateja,nashindwa kuzitangaza!

Joined
Sep 14, 2011
Posts
36
Reaction score
5
hdd 250gb/ram 2gb ni intel R CORE TM i3 ni HP PROBOOK
na zingine nyingi;
napatikana temeke / tandika 0717525251!
 
siyo huenda wateja tupo hapa! kwanza hatujui hizo ni mpya au za zamani!
kaka zipo mpya za zamani,na siyo hizo tu hata adroids zinapatikana,we ni sms kwa hiyo number na nitakupa uhakika zaidi!
 
bei ni tsh ngapi kianzio? Huenda ukapata mteja/dealer hapahapa jf?
zipo nyingi kaka na bei zinatofautiana kutokana na aina na uwezo wetu watanzania,hata adroids zinapatikana we ni sms me nitakupa uhakika zaidi!
 
Mdau

orodhesha model gani uko nazo, bei na full spex za kila moja (weka picha kama utaweza). Biashara hizi zinafanyika online kirahisi kuliko kukodi mlango kariakoo ukalipa 1M kwa mwezi

think to do it right quickly , and expect many returns

/sulu
 
hapo kwny kutaja bei, naona imekuwiya ngumu.
 
acha biashara za kizamani,si useme tu bei unashindwa nini?sisi huwa tunanunulia hapa hapa, ya nini kupigiana sim?
 
Huku ni kuuziana mbuzi kwenye gunia ,mimi nilifikiri watu wanajifunza hapa jinsi ya kutangaza biashara zao kumbe baado kabisa,sasa mtu hutaji hata brand name ,model za hizo kompyu na mbaya zaidi bei husemi (wewe uefanya bei ni siri kali kama silaha za maangamizo alizokuwa nazo Saadam)niashara yako unataka ubembelezwe mara tu sms ,na uki sms siwa hujibu,au kukaa TMK kumekuathiri kaka ,changamuka ,fursa ndio hizo
 
mkuu hapa JF kuna maelfu ya wanachama na wengi wanatumia laptop sasa huoni unajikosesha soko lisilo na gharama ? taja aina,ukubwa,mpya/zamani na bei ya kuanzia mtu akipenda si atakutwangia kabisa ?
 
...Kwenda kununua laptop TEMEKE/TANDIKA si jambo la busara sana (kimazingira). Muuzaji lete mzigo maeneo ambayo mnunuzi atakuwa na uhakika wa kupata laptop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom