Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta mtumba huo hapo juu kama kuna mdau ajitokeze pls
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba kufahamishwa gharama za uagizaji gari ambalo bei ya kununua na kusafirisha hadi bandari ya DSM ni USD 4,970 ambayo kwa kubadirisha na fedha yetu ya madafu kwa kiwango...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natafuta gari ndogo ya kutembelea iwe kwenye hali nzuri, bajeti yangu ni 5mill
1 Reactions
25 Replies
3K Views
ni used phone , touch and flip , big screen , GOOGLE IT FOR ITS SPECIFICATIONS!!!!! price: 320,000 tshs
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Kumekua na ongezeko la magodown na fremu manzese midizii kutokana na kukua kwa biashara na msongomano wa watu, tena fremu nzuri zinapatikana kwa bei nafuu na godown! kuna godown na fremu kubwa na...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
wakuu offer hiyo hapo nahitaji Mil 4 tu, pungufu sipokei ila nyongeza tutaelewana na wala madalali hawahitajiki. nicheki kwa 0713 262798. Ni starlet 1994, manual, EP82 closed top cc 1300 KM...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani hiyo desktop ni full na ina specification zifuatazo DELL OPLEX 755 DUAL 2.2 3 GB RAM 1000 GB(TERA) HARD DISK DVD WRITER BLUETOOTH TV CARD FLAT SCREEN DELL 17 INCH WIRELESS MOUSE NA KEYBORD...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eneo ukubwa wa heka mbili lenye nyumba ya kisasa yenye vyumba vitano ikiwemo master bedroom, kitchen, dinning, sitting room, choo na bafu store na study room safi, matank mawili yenye ujazo wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
hp iPAQ WINDOW MOBILE. bei yake ni tsh 450,000. Maelewano yapo. +255767736765
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Natafuta "Dealer" :- Muuzaji, Msambazaji, Mafundi, e.t.c wa printers aina ya TallyGenicom hapa Tanzania. Unaweza ni-PM au email baba_enock@yahoo.com Thanks BE
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji new brand desktop computers with following specs *processor core 2 duo *ram 2GB *Screen, TFT 17" *HDD >= 250 GB *DVD +- RW Kwa yeyote anayefahamu mahal znapouzwa au yeye anauza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Awe na mdhamini, elimu kuanzia darasa la saba, Umri kuanzia miaka 18, Awe na afya njema, Form four na kozi ya Computer ni Sifa ya ziada!! Kazi yake kuu ni kulea mtoto mmoja,kufua nguo...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wana jamii forums, Packard Bell Easy Note H5 Microsoft Windows XP Installed, Hard disk : 100GB RAM: 512MB Iko poa............Naomba bei niuze
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Monitor-hp flat screen-ila ina kichogo.. Cpu-dell 40gb, 512 mb ram processor 2.53 tsh 240,000....haishuki, nimeshaishusha sana tuu... :)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanajamvi habari zenu.? Natafuta nyumba ya kupanga nzuri ya kupanga. - Chumba kimoja na sebule au zaidi, - Kodi isizidi Tshs. 100,000/- kwa mwezi, - Iwe self contained, - Iwe na umeme...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi members please let me have any details of a person renting a warehouse,am seriously in need of it,my company is looking for a warehouse
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nijuzeni mwenzenu websites za companies zinazouza magari duniani kwote.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mchimba kisima kwa ajili ya nyumba yangu Kigamboni. Naomba mwenye contacts za kampuni / mtu anayechimba anipatie. Natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Piga namba 0716622185 au 0759311775 Kuna kiwanja kinyelezi karibu na tank kubwa la maji la kinyelezi. Upana ni mita 33 na urefu ni mita 21. Upana wa barabara ya kuingilia kwenye kiwanja ni futi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom