Upo kwa msela huyo ndio muokozi wako au niseme ndio RED Cross/Crescent wako sasa lodge ya nini, unalako jambo ambalo umeona kwa muokozi wako huwezi kulitimiza. kama unazo sana kwa nini usibakie pale kwa wahanga wenzako Jangwani na shule ya msingi Mchikichini mkazitumia na wahanga wenzako na Mungu angekuruzku mara elfu. napata kahisia na kaharafu kaubazazi unataka kukatekeleza kupitia janga lililopo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.