Motorola Droid pro Xt610 verizon

Motorola Droid pro Xt610 verizon

DAVIES

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
516
Reaction score
90
jamani wana Jf nina motorola droid pro XT610 nililetewa toka usa sasa ina lock zao nimepeleka kariakoo kwa mafundi imeshindikana mwenye utaalamu anisaidie nifanyeje model yake ni 353635040948354
 
jamani wana Jf nina motorola droid pro XT610 nililetewa toka usa sasa ina lock zao nimepeleka kariakoo kwa mafundi imeshindikana mwenye utaalamu anisaidie nifanyeje model yake ni 353635040948354
ebana kaka mkubwa simu zinazokua zimefungwa na hao Verizon huwa ni kesi kuzifungua or kuflash mpaka uwachek wenyewe wakupe Unlock zao' na hapo lazima $ zitahusika. Pole mkubwa!
 
DAVIES:, Pole sana hiyo sio model no but ni IME no. Ipeleke kwa mtaalam mmoja Anaitwa Mwesiga yupo opposite jengo la IPS kwa juu ghorofan. huyo ataiweka safi na akishindwa nijuze


Good lucky
 
Nashukuru mr. Ngoma nitaufanyia kazi ushauri wako then nitakujuza
 
simu za verizon huzifungui hata ufanyeje
 
Nashukuru mr. Ngoma nitaufanyia kazi ushauri wako then nitakujuza

Mi mwenyewe nina yangu hapa nimesha zunguka k/koo nzima na posta yoote lkn wapi!! bila bila. mi nimeiweka kapuni nikijipanga kuirudisha ikafunguliwe huko huko ........ukifanikiwa unishtue.
 
Unaweza kuaccess menu ya hiyo cm? Kama unaweza ni pm nikupe maelekezo jinsi jinsi ya kufanya.
 
Unaweza kuaccess menu ya hiyo cm? Kama unaweza ni pm nikupe maelekezo jinsi jinsi ya kufanya.

Ok nipe ninajamaa hapa anasema anautaalam huo email hapedaud@yahoo.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom