Kuku wa nyama kwanauzwa

Kabachubya

Member
Oct 6, 2009
87
10
Habari wana jf, nauza kuku wa nyama wakubwa kwa ajili ya migahawa, hotel na watu binafsi. Mimi nakaa pugu kikazi nipo muhimbili hospital, naleta kuku kwa order. Bei ni 6,500/- tu.

Kwa mawasiliano piga 0712 101017 au 0762101178

Nashukuru kwa ushirikiano wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom