Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 2100 HSDPA 850 / 900 / 2100 Announced 2010, February Status Available. Released 2010, July BODY Dimensions 117 x 60 x 12.5...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mhitaji ani PM tafadhali. Ni Dell.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Closed
iphone 4 for sale in good condition bei 550000 iko safii 0714519880
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karibu ujipatie webtempelates za ukweli kama za facebook na tweeter for free on mychat.mobsite.co
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Mambo vipi wadau? Mbwa wanauzwa pure Germany Shepherd tarehe 18, feb,2012 wanatimiza miezi miwili. Wamebaki watatu. Bei ni Tshs 300,000/= kwa mmoja. Kwa mawasiliano: 0717 123 464 0762 101 178
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna kiwanja kizuri Bunju B nipm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MSAADA....... MSAADA....... MSAADA....Natafuta nyumba ya kukodisha kwa muda wa miezi miwili ambayo ina kila kitu ndani. Nimesikia hapo Dar naweza kupata naomba msaada kwa wadua wenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni mpya ina wiki tatu tu mkononi laki nne na nusu, nPM
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Nimetokea kuvutiwa na toyota ist kwa yeyote mwenye uzoefu nayo naomba anihabarishe uimara wake kabla sijaingia mkenge wapendwa.
0 Reactions
14 Replies
7K Views
lipo katika kijiji cha lugwadu wilaya ya mkuranga. Ni km 6 kutoka barabara kuu ya kongowe kigamboni na km 24 kutoka ferry na km 8 kutoka kongowe. Shamba lina ninazi mikinda na mikorosho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hi wakali, nina kiassignment changu cha ghafla porini na ninahitaji moja kati ya magari hayo mawili hapo juu... itategemea lenye hali nzuri na bei ya sale..... nissan patrol iwe ya pump ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji Noah ofa yangu 11M mwenye nayo anipigie 0767236210
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Heshima wakuu, ninahitaji kwa mwenye nalo shamba hata kama ni pori lenye ukubwa wa eka tano kama zimepungua pia tuwasiliane tu.. ziwe nje ya dar na pembezoni ama karibu ya ufukwe. natanguliza...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ukubwa nusu eka( mita 70 kwa mita 35) maji na umeme yapo jirani,kipo umbali wa mita 100 kutoka main road Kanisa la kkkt lipo karibu. Bei ni milioni 30.
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Nina rafiki yangu mmoja yupo maeneo ya Arusha anatafuta used laptop aina ya Dell D620 au laptop yoyote used. Bei aliyonayo n sh. 300,000/= kwa yeyote mwenye used laptop ambaye angependa kumuuzia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
12000mAh LAPTOP SOLAR CHARGER 1.Scope for charging: laptop, any mobile phone,digitalcamera,mp3,mp4,PDA,PSP,GPS,DV etc.(USB and 13 mini connected pins) 2.Flashlight:1 high light Ø10mm...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta frem ya kufungua/kuuziwa stationery
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Type:Dell Colour:Red Model:Inspiron 1011 Bei: 450,000 (tunaweza negotiate) Anayehitaji ani PM tuwasiliane zaidi.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Yeyote mwenye smart nokia original iliyo ktk hali nzuri,afanye hima nahitaji.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina LG GU285 niliagiza toka nairobi,ni 3g na ina mambo mengi na pia internet yake ipo fasta,ina earphone zake na chaja ni line moja isipokuwa screen yake si kubwa sana kama ninavyopenda...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…