Wana JF nauza Acer travel mate 2490, yenye H:D 60GB, INTEL CELERON 1.8GHz/1866MHz,1GB Ram,ipo Morogoro na hata Dar -es salaam inaweza patikana pia,bei ni 400,000 ipo katika GOOD condition...
Wawe na umri wa miaka 3 hadi 3.5, wale wa rangi ya brown, madume ambao hawajahasiwa wawili, na majike ambayo yana uzazi mawili, wakiwa wamepewa mafunzo na wazuri zaidi, wawe wanapatikana hapahapa...
Kiwanja kinauzwa,Kipo Kibada Dar es salaam,ukubwa robo Heka,Bei ni 3million mazungumzo yapo taratibu zote za mauziano zitafuata kwa kusimamiwa na mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa.Call 0767405200
Wadau,
Nauza Video Camera Recorder aina ya SONY, Handy cam.Nimeitumia binafsi kwa shughuli za kuchukua kumbukumbu mbalimbali.Bei ni 480,000/=
Specifications ni kama ifuatavyo:
SONY VIDEO CAMERA...
Basi ISECURE INVESTMENT imekulete car tracking system itakayo kuwezesha kukupa taarifa ya gari yako na kupata nafasi ya kuwa karibu na gari kupitia simu yako ya mkononi, kifaa kitakuwezesha...
Helo Jf
Baada ya kufanikiwa kuuza used bajaj tatu, two stroke three wheeler, sasa imebaki moja na nauza kwa bei ya punguzo.
Kwa Tsh mil 1 unapata bajaj inayofanya kazi vizuri,tairi mpya,engine...
WAKUU HABARI,KUNA BIASHRA YA iMac G5 KWA THS 1,000,000/=
HII NI DESCTOP YA MAC AMBAYO MONITOR YAKE IMEUNGNISWA NA CPU,KITU AMBACHO KIPO PEMBENI TUNACHOTOA NI KEYBOARD NA MOUSE .IPO FULLY...
Wakuu nahitaji ELECTRONIC DOOR LOCKS zenye kufungua kwa kkutumia cards, pia ziwe na uwezo wa kuhifadhi data za kila anayeitumia, zisiwe za bei ghaali tafadhali, maana kuna watu nimewasiliana nao...
Tunahitaji oda za tshirt printing kuanzia tshirt 50,mtambo ni wa kisasa na unatoa quality ya maana,mi nipo dar,kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana kwa namba 0652993219.
Kama unataka kufanya beats na kurecord karibu flying records tufanye kazi. Napatikana airport mbeya...njo tuje tupige kaz za viwago vya mbele
Contact:-
0765105978
v2jtinga@gmail.com
Po.box...
Heshima Kwenu.
Playstation 2 inauzwa.
Ina control pads mbili, ina uwezo wa kusoma hata Games za kucopy.
Haina memory card.
Iko Arusha.
PM kama unaihitaji