Masika
JF-Expert Member
- Sep 18, 2009
- 723
- 30
Helo Jf
Baada ya kufanikiwa kuuza used bajaj tatu, two stroke three wheeler, sasa imebaki moja na nauza kwa bei ya punguzo.
Kwa Tsh mil 1 unapata bajaj inayofanya kazi vizuri,tairi mpya,engine block mpya na imelipiwa bima,kadi original ipo
Kwa wachuuzi inafaa pia kwa kuwa unaweza kuuza kwa 1.5 kama huna haraka maana iko katika hali nzuri,safari bado zipo wanasema!
Kwa madereva ambao mnaendesha bajaj za maboss wenu ni muda muuafaka kuchukua kitu hii upige vichwa mpaka ununue mpya
Kama kawa nitumie msg /pm au twanga 0787883059
Location: Dar es salaam kinondoni
Baada ya kufanikiwa kuuza used bajaj tatu, two stroke three wheeler, sasa imebaki moja na nauza kwa bei ya punguzo.
Kwa Tsh mil 1 unapata bajaj inayofanya kazi vizuri,tairi mpya,engine block mpya na imelipiwa bima,kadi original ipo
Kwa wachuuzi inafaa pia kwa kuwa unaweza kuuza kwa 1.5 kama huna haraka maana iko katika hali nzuri,safari bado zipo wanasema!
Kwa madereva ambao mnaendesha bajaj za maboss wenu ni muda muuafaka kuchukua kitu hii upige vichwa mpaka ununue mpya
Kama kawa nitumie msg /pm au twanga 0787883059
Location: Dar es salaam kinondoni